hewizet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 2,399
- 1,494
Wewe ndio ulie muelewesha huyo ndg kiufasaha, ninaimani km atasoma hii ameshaelimika
Ni hivi,
Gari za mwanzo kabisa kwenye huu mfumo zitakuwa zilianza na
T 001 AAA hadi T 999 AAA
then
T 001 AAB hadi T 999 AAB
zikaendelea
T 001 AAC hadi T 999 AAC
hizo herufi zikaendelea mpaka zikafika AAZ
zilivyofika AAZ zikaanza tena kama ifuatavyo
T 001 ABA hadi T 999 ABA
T 001 ABB hadi T 999 ABB
T 001 ABC hadi T 999 ABC
.
.
.
T 001 ABZ hadi 999 ABZ
ikaanza tena
T 001 ACA hadi 999 ACA
ukiendelea na huo mtiririko baadae utakuja kufikia mahali ukute namba T 999 AZZ
ambapo itabidi gari linalofuatia lianze na namba zenye herufi zinazoanzia na B yaani
T 001 BAA.
kwa hiyo kwa hii system mpaka magari yajaze hiyo combination ya namba na herufi sio leo wa la kesho ndo maana mpaka leo magari yaliyopo Tanzania yamefikia herufi D tu
huwezi kukuta gari lenye namba kwa mfano
T 345 EAA kwa sasa ila baada ya muda yataanza kuwepo.
namba zinaanzia 101 wakuu hadi 999. herufi A mpk Z bila kujumuisha I na O. sasa hisabati ndio inaanzia hapo