chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 982
- 1,978
Acha kufuata mkumbo, live your life
Yaan nyie jamaa ni mbumbumbu sanaKwi Kwi Kwi , sasa kinachokuliza nini ?
Pole kwa maumivuYaan nyie jamaa ni mbumbumbu sana
Yaan 70% ya waandamanaji wa Dar ndio wale wale mmejikusanya kama kikundi Cha panyarodi
Siku ya maandamano yule Mwamba jasiri baada ya JPM atakuwa na ziara pia pale mjini!!Eti wanakambi, mbona maandamano ya Mwanza hayana promo wala msisimko kama ilivyokuwa Dar? Au yamepigwa stop na Amos Makalla? Au sababu za maandamano yamepatiwa ufumbuzi tayari? Au Chadema imeons maandamano bila virungu hayanogi?
Wewe damu ya Thadei Ole Mushi itakutesa sana, usifikirie ndugu zake ndiyo wamemaliza,wewe subiri tu hizo milioni 50 ulizolipwa kumlisha sumu ndugu yao utaziona chungu sana,utakufa kinywa waziChadema ni mbumbumbu na malaya wa kisiasa
Wanazurura wale wale waliokua dar wanayaita maandamano
Damu ya Thadei inamutia wenge anaweweseka ovyoKwi Kwi Kwi , sasa kinachokuliza nini ?
Wewe na famila yako au pengine weweEti wanakambi, mbona maandamano ya Mwanza hayana promo wala msisimko kama ilivyokuwa Dar? Au yamepigwa stop na Amos Makalla? Au sababu za maandamano yamepatiwa ufumbuzi tayari? Au Chadema imeons maandamano bila virungu hayanogi?