vamda
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 867
- 536
Wanajamvi nimesikitishwa kuona mashindano ya EPIC BONGO STAR SEARCH kutoshirikisha magwiji wa muziki Tanzania kama vile King Kikii, Kassim Mapili, Shaaban Dede, Shakila na wengineo wengi waliofanya makubwa hapa nchini kwenye medani ya muziki. Kwa nini hawakushirikishwa?