kwa nini chuki?

Hapa inahitajika kwanza, definition ya Chuki ! What it's?
The condition of being definite!
Ndiyo mchakachuo ufate.
 
Chuki inasababishwa na Mapenzi na Tamaa za mali pamoja na wivu usio na tija.
 
Hahahaa TANMO ni lugha gani hiyo?

hizo ni baadhi tu ya lugha zile TANMO anazungumza,, ongezea Kiyunani, kilingala, kibaikoko, kigiriki, kindali, kimasai, ki (nitarejea)

BTW wikiendi yako inakwendaje kaka?
 
Last edited by a moderator:
Tunachukiana kwasababu tunaogopana/
tunaogopana kwa sababu hatujajuana/
hatujuani kwa sababu tunatengeana/

by Fid Q
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom