Kwa mwendo huu, tutafia sana vifuani

Kwa mwendo huu, tutafia sana vifuani

Tatizo wanapiga mizinga sana ndio maana tunapania sana siku ya siku usugue mpaka zitoke cheche


Rafiki utafia papuchini......... haikomokagi ile... unavyozidi kusugua ndivyo inavyokuwa tamu na ndio inashangilia na kurusha machozi ya furaha... dushe linaishia kupata sugu na kuchoka kabisa.
 
kaka benteke umesahau na kingine, kuna rafiki yangu anafanya kazi duka moja la kuuza madawa kule g/mboto anasema zinazonunuliwa sana na wa kwingi ni viagra na KY, anasema zinatoka sana
 
Hamna cha Ethic hapo...taifa linaangapia kama nchi haitachukua hatua.....wewe unafikiri tatiza la uhanithi linaanzia wapi. Ndio maana siku hiz ndoa change zinavunjika kwa sababu hiyo. Kijana akiwa chuo na wakati anaanza kazi alikua anatumia sana Viagra...ameoa hawezi kutumia na asipotumia hamna kitu hivyo mke lazima amkimbie.

Muuzaji ameanika usiri Wa wateja wake.
Taifa aliwezi kuangamia kwa watu kuwa maanithi.
Ndoa zipo,zinavunjika,zitakuwepo na zitaendelea kuvunjika
Mwisho ndoa inajengwa na mambo mengi....ngono ikiwa ni sehemu tu ya hayo mambo.
 
Ata papuchi zishalegea sana siku hizi, hamna mnato hasa Dar.... watoto wanaanza match utotoni na wanacheza na wazee wao, ukikutan nae huyo ni sawa na unamchafua tu
Papuchi zinalegezwa na nini wakati dushe zenyewe za manati, tafuteni solution acheni ubishi
 
mim sijawai kutumia dawa yeyote lakin nazichubua sana papuchi nkiamua kusugua na sina dushe kubwa wala nin dawa nzur ya kugonga usichoke na kwa nguvu ni mazoez ya mwili tu na utulivu wakat wa kufanya ngono.basii
 
Bora mie ninaye piga kitu pwezaaaa kabla ya game, sina shina ni natural iyo .😁😁😁😁😁😁
 
Tafuteni tadalafil ni salama inachelewa haina haraka km hy sildenafil ila ina bei kidonge 10thsnd
 
Kama watumiaji ni wengi ina maana wagonjwa ni wengi pia,ni vizur tuangalie life style yetu turejee kula vyakula vya asili na mazoezi.
 
samahani!!

viagra ni nini??

Ni aina ya Kondomu zitumiwazo na wanaume wakati wa kufanya Mapenzi. Kondomu hizi ni nzuri japo baadhi ya wanume hawazipendi. Kwa maelezo zaidi nenda Pharmacy kubwa karibu na eneo ulipo kwa maelezo zaidi.
 
1: Kuiga
2: Kutaka kuwakomoa madem zao, kitu ambacho si sahihi
3: Ushindani. Akisikia mwenzake amefanya hivi huko vijiweni nae anataka afanye hivyohivyo
4: Ushamba uliokubuhu
5: Ngono imeteka sana akili za watu, badala ya kufikiria jinsi ya kujikwamua kimaisha wao wenyewe, familia zao, ndugu zao na jamii, asilimia kubwa hufikiria ngono tu muda wote. Kazini ngono, msibani ngono, mtaani ngono, harusini ngono, kwenye nyumba za ibada ngono, kwenye daladala ngono
6: Kutokujiamini.
7: n.k
 
Papuchi zinalegezwa na nini wakati dushe zenyewe za manati, tafuteni solution acheni ubishi

Baadhi ya wanawake wana kadhia ya namna hii au yenye visababisho hivi ila kutokana na maumbile ni vigumu kuliona tatizo kama wanaume ambao network inaplay part kubwa kwenye mchezo wenyewe.
 
Hamu ya mwanaume mpaka dushelele kusimama inaanzia kwenye ubongo. Hamu hii huwa ni kubwa mno pale inapotokea mwanaume kuwa mbali au kutoona maumbile nyeti ya mwanamke kwa muda mrefu (Mfano mtu anapokuwa kifungoni jela kw miaka kadhaa, au mwanafunzi wa bwenini hasa wale wa single sex)
Inapotokea mwanaume kila wakati anaona uchi wa mwanamke ile hali ya kuhamasisha tendo hilo mpaka Dushelele lisimame inakuwa kwa kiwango kidogo sana. Wanawake/wadada wasiku hizi hawawapi nafasi wanaume kushangaa au kuwa na hamu ya kuwa na mwanamke faragha maana kila wakati mwanamke amekuwa ni mtu wa kujiweka uchi hadharani, iwe ni kwenye Luninga, Mitandaoni, mitaani, sehemu za starehe, kwenye mabasi ya abiria nk...
 
Baadhi ya wanawake wana kadhia ya namna hii au yenye visababisho hivi ila kutokana na maumbile ni vigumu kuliona tatizo kama wanaume ambao network inaplay part kubwa kwenye mchezo wenyewe.

za siku nyingi kaka angu
 
Tatizo porn zinawaharibu...wangejua wenzao wanaedit....wasingekimbilia kunywa hayo madawa...
 
Hamu ya mwanaume mpaka dushelele kusimama inaanzia kwenye ubongo. Hamu hii huwa ni kubwa mno pale inapotokea mwanaume kuwa mbali au kutoona maumbile nyeti ya mwanamke kwa muda mrefu (Mfano mtu anapokuwa kifungoni jela kw miaka kadhaa, au mwanafunzi wa bwenini hasa wale wa single sex)
Inapotokea mwanaume kila wakati anaona uchi wa mwanamke ile hali ya kuhamasisha tendo hilo mpaka Dushelele lisimame inakuwa kwa kiwango kidogo sana. Wanawake/wadada wasiku hizi hawawapi nafasi wanaume kushangaa au kuwa na hamu ya kuwa na mwanamke faragha maana kila wakati mwanamke amekuwa ni mtu wa kujiweka uchi hadharani, iwe ni kwenye Luninga, Mitandaoni, mitaani, sehemu za starehe, kwenye mabasi ya abiria nk...

Hapa walifaudu babu zetu, na baba zetu wakamalizia. Siku hizi mapaja,viuno,vitovu na sehemu kubwa ya matiti kuviona sio kitu cha ajabu.
 
Back
Top Bottom