benteke
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 1,305
- 1,069
- Thread starter
- #61
Viagra na mapresha ni bomb la nuklia
Nakwambia tusubiri tu...miaka 15 au 20 ijayo vifo vya ghfal viatakua vingi sana nchini. Pia ndoa siku hivi kupata watoto imekua ni taabu. Nguvu hawana...ugomvi kila siku. Wake za watu wanaingia gest mchana kweupe na pete zao mikononi..hawaogopi tena maana hawana jinsi..