Vipi na cha saa 1 nacho wanakitangaza?ahahahahaha wanashindana na wanakotoka... ila hawa wanawake wa sikuhizi ukiwapiga cha dakika tano wanakutangaza mtaa mzima. Acha vijana wajilie viagra tu maana mazoezi hawana na chipsi mayai ndio zinawamaliza kabisa
Jaribu na la kwangu...Mengi tu
Akuuuu kwani tester hiiJaribu na la kwangu...
Tatizo wanapiga mizinga sana ndio maana tunapania sana siku ya siku usugue mpaka zitoke cheche
Tatizo wanapiga mizinga sana ndio maana tunapania sana siku ya siku usugue mpaka zitoke cheche
1: Kuiga
2: Kutaka kuwakomoa madem zao, kitu ambacho si sahihi
3: Ushindani. Akisikia mwenzake amefanya hivi huko vijiweni nae anataka afanye hivyohivyo
4: Ushamba uliokubuhu
5: Ngono imeteka sana akili za watu, badala ya kufikiria jinsi ya kujikwamua kimaisha wao wenyewe, familia zao, ndugu zao na jamii, asilimia kubwa hufikiria ngono tu muda wote. Kazini ngono, msibani ngono, mtaani ngono, harusini ngono, kwenye nyumba za ibada ngono, kwenye daladala ngono
6: Kutokujiamini.
7: n.k
Hivi kumbe viagara zinauzwa tu maduka ya dawa! It has never occurred to my mind
Mkuu hapo kwenye kijani nimecheka sana, kwani utakuwa umewagusa wengi!
Kupakomoa sehemu tulipopitia! hatuna ujanja, kifupi wazee wetu walitumia vyakula halisi na sio artificial foods tunazohangaika nazo zamani unakuta mzee ana watoto 30zote original copy siku hizi ukipiga copy mbili nyingine mbili wife kazi burn ,na maisha yenyewe yamekuwa so hectic unarudi home hoi unaishia kuweka mkono juu ya mbunye sijui unaibariki au unailinda.
Vipi na cha saa 1 nacho wanakitangaza?