Inasikitisha sana siku hizi wanaotumia Viagra ni vijana wadogo sana ,wengine hata ni wanafunzi wa vyuo. Na hii si Dar tu, mpaka hata mikoani..nilikua Dodoma nikawa na jamaa yangu mmoja pale anaduka la dawa ananiambia Viagra ndio inamlipa kuliko dawa zote.
Wateja ni wanafunzi wa vyuo na waheshimiwa. Sijui kwa kweli nini kinalikumba Taifa.
Hivi kweli kwa mawazo yako unaweza ikomoa papuchi wewe.
Acheni ujinga jamani.
Mwenye taarifa kuhusu viagra na matumizi yake anipe mwanga kidogo, maana naskia tu kuhusu ili, samahan kwa usumbufi