Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,825
Jinsia yako tafadhali.
nazani ni wa kiume huyu!
Jinsia yako tafadhali.
miaka 28 bado mdogo bana.
Ebu weka vitega uchumi vyako,gari,nyumba na muhimu picha yako na cheti cha Angaza...sio nyumba yakukodi ukaanza kutangaza na cheti cha kumaliza shule tujue umepata div C au A....
mdogo ndo haiingii?
miaka 28 bado mdogo bana.
Weka jamani siumetangaza unavyotakaa? Au haki unayo weye tuu unaemtaka Hana haki yakujiridhishaa nafsi yake kwa anayotaka umuonyeshe?Nataka mke wa kuishi nae katika hali na mali, sitaki wa kufuata pesa pekee, km wa pesa ambiance wamejazana
Unataka awe na miaka mingapi ndio ungemfikiria?
angalau 33
Una hatari wewe
Yaani kwakuwa baba paroko nina umri huo basi imekuwa taabu!!!!!!!!
nahisi mtoto wa kiume akifika umri huo anakuwa ameshajielewa katika suala zima la mahusiano
Usiishi kwa kuhisi dear
Hebu ukija ibadani leo nikumbushe nikupe darasa kuhusiana na hiyo kitu!
kwahiyo tusiziamini hisia au?
mbona sijaona hyo text? Basi beep nitakupigia japo kubp kunapunguza heshima yako