km unajiamini ni mzuri wa sura na tabia nicheck tu tutaangalia namna ila wa dar wana added advantage
kutokana nahali yasasa ya wanawake wapenda pesa ndugu yangu ukitaka kupata mke bora popote Tanzania usiweke vigezo kama ivyo ata kama unavyo mfano,degree,bachela,sjui nalipwa mil.2 kwa mwazi ni ukuda uo kuwa mjanja mkuu jifanye maskini wakati uo ili badae mfurah pa1 mkuu.
Huko kote unakopita hujawaona
Ebu weka vitega uchumi vyako,gari,nyumba na muhimu picha yako na cheti cha Angaza...sio nyumba yakukodi ukaanza kutangaza na cheti cha kumaliza shule tujue umepata div C au A....
kutokana nahali yasasa ya wanawake wapenda pesa ndugu yangu ukitaka kupata mke bora popote Tanzania usiweke vigezo kama ivyo ata kama unavyo mfano,degree,bachela,sjui nalipwa mil.2 kwa mwazi ni ukuda uo kuwa mjanja mkuu jifanye maskini wakati uo ili badae mfurah pa1 mkuu.
Hata wewe?
Mi wanantosha hawa nlionao.
Mmmhuuuuu!!!!!!!
Whaaaaaaat!
Nilikuwa sijui kama great thinker wanakuwa na msululu wa wa....
Hahahaaaa...ndo ujue sasa
Et hajui hajahaha hiyo kawaida mbonaaa
enheeee namna hiyo, sura na tabia tutarekebishana.....Awe na gari pia tena sio kistarlet na nyumba nzuri sio kijumba cha chumba kimoja na mshahara mnono