Watakuja
Wewe mwanaume? Lol
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Watakuja
hahaaaa! Umenivunja mbavubadiebey....akiweka fake....
Mimi ni kijana wa miaka 28 sasa, Nina elimu safi ya chuo kikuu kutoka moja ya vyuo maarufu hapa nchini. Kwa sasa nafanya kazi katika taasisi moja ya kimataifa (USA based organization). Nishakuwa na mahusiano na wanawake kadhaa huko nyuma ila mahusiano mengi yalivunjika kwa kuwa nilikuwa sana busy. sasa nataka msichana safi anayejua kupenda na kucare mwanaume mungu akipenda tufanya maisha sasa muda wa kuruka ruka umeisha. kwa walio tayari wantext 0654 531 647. then mengine tutapanga huko. wakwanza kujitokeza watapewa kipaumbule. Mimi naisha dar na nitapendelea wa dar hapa hapa, wa mikoani tutasumbuana namna ya kuonana
nimekutxt mbn kimya arif
Atakuwa anaangalia mwandiko!
Heheh,biashara matangazoo
basi sawa,WEKA PICHA NA SALARY SLIP,tuanzie hapo
Wewe hutaki au umeshachukua namba kimyakimya?
Wewe mwanaume? Lol
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
usije ukawapanga tu,maaana hapa watamiminika wakutosha.
nimejitahidi kuweka kamwandiki kazuri labda nimekuwa wa 100 ndo maana kapiga kimya
Mi nna sifa ila nipo mkoani duu nimekosa bahatii walahh
Shosti msururu nnao nrefu,nkiongeza tena hewa itakua nzito.
km unajiamini ni mzuri wa sura na tabia nicheck tu tutaangalia namna ila wa dar wana added advantage
Shosti msururu nnao nrefu,nkiongeza tena hewa itakua nzito.
Umeniwahi banaaa aaaaaa