Kwa anayetaka kuoa, nashauri usioe mwanamke mwenye sifa hizi

BLUE BALAA

JF-Expert Member
Nov 30, 2010
1,222
764
Nina miaka 20 kwenye ndoa hivyo nina uzoefu wa kutosha na nimeona mengi kwenye maisha ya ndoa. Nimeona ndo zilizodumu na ambazo zimevunjika ndani ya muda mfupi. Katika maisha ya ndoa kuna mivutano mingi tu ila kuna ambayo inavumilika na mingine isiyovumilika.

Ila ukioa mwanamke wa status fulani basi chances kubwa za kushindwana huko mbeleni zinakuwepo. Mimi nilioa miaka 20 iliyopita nikiwa na umri wa miaka 26 na mke wangu akiwa na 22.

Tulikutana wote tukiwa na maisha ya kawaida though mimi nilikuwa university graduate na mwenzangu ni high school graduate but she was business talented. Hakuna ambae alikuwa na mtoto wala kuoa au kuolewa kabla but we are now blessed with three kids.

We are noT reach yet lakini tunaishi kwetu, tunabiashara zetu, tunaishi maisha mazuri na watoto wanasoma shule nzuri ila tulianza kuishi maisha ya chumba kimoja cha kupanga. Ushauri wangu unajikita kwa kijana anaetaka kuolewa hivyo mwengine anaetaka kushauri anaweza kujikita kwa msichana anaetaka kuolewa.

Kwanza kabisa mwanaume ana nafasi kubwa sana ya kudumisha ndoa yake na ndoa kuvunjika sehemu kubwa sana weakness inakuwa upande wa mwanamme. Sababu inaweza kuwa makosa uliyofanya wakati wa kuchagua mchumba au maisha baada ya kuoa. Sifa za mwanamke nitakazotaja inaweza ikaonekana namnyanyapaa mwanamke la hasha ni kwamba tu nataka tuwe realistic mambo yanayoleta mifarakano kwenye maisha ya ndoa. Here we go

1. Usioe mwanamke aliekuzidi umri. Wenzetu umri wao unaonekana unakwenda kwa kasi sana bila kujali ana matunzo ya aina gani. Hivyo basi mwanamke uliempita miaka mitano huko mbeleni yeye atakuwa mzee kuliko sasa je kama yeye kakupita umri je huoni utamchoka mapema sana?

2. Gap kati ya mwanaume na mwanamke isizidi miaka kumi ili ku maintain swala la kumtosheleza mwenza wako lifetime kulingana na umri wenu. Wanaume tukisha anza miaka 55 kuelekea 60 ukweli ni kwamba nguvu nazo zinaanza kupungua sasa kama umepishana umri mrefu na mke kubali kwamba utasaidiwa

3. Mwanamke mwenye mtoto. Kubali tusikubali hili nalo ni tatizo kubwa sana kwanza kwa kijana unakwaza wazazi wako. Kwanini uwaanzishie wazazi wako na wajukuu wakambo? Sawa umempenda mke wako japo ana mtoto lakini huoni kwamba mke ni wako sawa ila umeleta kwenye jamii yenu hivyo ni vizuri na wazazi na ndugu zako wakafurahia mtu asie na doa. Kwani vijana mnakosea wapi mbona wachumba bado wengi tu. Hapa siongelei case ya mjanae kukutana na mgane au Divorcee kukutana na Divorcee these could get married but a fresh young chap.

4. Mwanamke uliompora toka kwa mwanamme mwengine sababu ya pressure fulani either mwanamme alikuwa hana hela ukamzidi, either mwanamme alikuwa ameoa already, either mwanamme alienda kusoma. Kumbuka wanawake ni watu wenye huruma na kukumbuka sana.

Ukioa mwanamke wa aina hii ataendelea kumriwadha huyo jamaa yake siku zote if the man would be interested. Lakini wewe pia utakuwa na kazi ya kumchunga huyo mke wako siku zote ili asije akakutana na ex wake. Hapa ndio maisha ya wivu kwa kwenda mbele kama nyie mnaishi Arusha na Ex anaishi Dar mama akisafiri kuelekea Dar na wewe unataka kwenda. Na ni kweli akienda kama wakifanikiwa kukutana watakulana tu.

Basi hizo ndizo tip zangu kwa leo na kama huniamini na una mchumba wa aina hiyo njoo inbox ni kushauri, kama pia unapitia kwenye experience hiyo come inbox
 
4. Mwanamke uliompora toka kwa mwanamme mwengine sababu ya pressure fulani either mwanamme alikuwa hana hela ukamzidi, either mwanamme alikuwa ameoa already, either mwanamme alienda kusoma. Kumbuka wanawake ni watu wenye huruma na kukumbuka sana. Ukioa mwanamke wa aina hii ataendelea kumriwadha huyo jamaa yake siku zote if the man would be interested. Lakini wewe pia utakuwa na kazi ya kumchunga huyo mke wako siku zote ili asije akakutana na ex wake. Hapa ndio maisha ya wivu kwa kwenda mbele kama nyie mnaishi Arusha na Ex anaishi Dar mama akisafiri kuelekea Dar na wewe unataka kwenda. Na ni kweli akienda kama wakifanikiwa kukutana watakulana tu.
unamaanisha watu waoe wanawake ambao ni mabikra which is practically nearly to impossible.
 
Ni kweli lakini msiwatenge wenye watoto kama alizaa katika age hiyo, gafla mwanaume akafiriki? Kua na mtoto haimaanishi ni doa huwezi jua, pengine Huyo mtoto anaweza kuja kua msaada katika hiyo familia

Hayo mengine nakubaliana na wewe.. kama mimi na patner wangu amenipita miaka8
 
Ni kweli lakini msiwatenge wenye watoto kama alizaa katika age hiyo, gafla mwanaume akafiriki? Kua na mtoto haimaanishi ni doa huwezi jua, pengine Huyo mtoto anaweza kuja kua msaada katika hiyo familia

Hayo mengine nakubaliana na wewe.. kama mimi na patner wangu amenipita miaka8

Ngoja aolewe na mjane mwenzake. Itakuletea shida tu siku moja
 
Aisee! Ni hatari saana kiukweli!

Yaani kuoa mwanamke aliye na mtoto kwa Tz, imeshakuwa kama dhambi! Sasa sijui tunaenda wapi jamii yetu!? Na unadhani wataolewa na nani! Pia nao wanahitaji faraja na upendo pia.
Nao wakishaolewa hawaachi kupasha viporo! Tatizo huanzia hapo!

Dah! Tumuachie Mungu tu aamue.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee! Ni hatari saana kiukweli!

Yaani kuoa mwanamke aliye na mtoto kwa Tz, imeshakuwa kama dhambi! Sasa sijui tunaenda wapi jamii yetu!? Na unadhani wataolewa na nani! Pia nao wanahitaji faraja na upendo pia.
Nao wakishaolewa hawaachi kupasha viporo! Tatizo huanzia hapo!

Dah! Tumuachie Mungu tu aamue.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ngoja aolewe na mwenzake mwenye mtoto ila wewe ambae hujaoa ni shida. Achana na hayo mambo ya kupasha kipora the issue is just damn complicated. Kuna mambo mengi mno ambayo in one way or another yata mu isolate hata yule mtoto
 
"Usioe mwenye mtoto"

Hii kauli wengi wanaisisitiza sana ...ila lisemwalo lipo kama halipo laja mi ni nani wa Ku judge ngoja tuone

Sent using Jamii Forums mobile app

Angalizo mimi naongelea kijana fresh ambae anataka kuoa ndo asioe mwanamke mwenye sifa hizi. Siongelei wale ambao nao walishaoa au walifiwa na wake au kuachwa
 
Nina miaka 20 kwenye ndoa hivyo nina uzoefu wa kutosha na nimeona mengi kwenye maisha ya ndoa. Nimeona ndo zilizodumu na ambazo zimevunjika ndani ya muda mfupi. Katika maisha ya ndoa kuna mivutano mingi tu ila kuna ambayo inavumilika na mingine isiyovumilika. Ila ukioa mwanamke wa status fulani basi chances kubwa za kushindwana huko mbeleni zinakuwepo. Mimi nilioa miaka 20 iliyopita nikiwa na umri wa miaka 26 na mke wangu akiwa na 22. Tulikutana wote tukiwa na maisha ya kawaida though mimi nilikuwa university graduate na mwenzangu ni high school graduate but she was business talented. Hakuna ambae alikuwa na mtoto wala kuoa au kuolewa kabla but we are now blessed with three kids. We are noT reach yet lakini tunaishi kwetu, tunabiashara zetu, tunaishi maisha mazuri na watoto wanasoma shule nzuri ila tulianza kuishi maisha ya chumba kimoja cha kupanga. Ushauri wangu unajikita kwa kijana anaetaka kuolewa hivyo mwengine anaetaka kushauri anaweza kujikita kwa msichana anaetaka kuolewa.

Kwanza kabisa mwanaume ana nafasi kubwa sana ya kudumisha ndoa yake na ndoa kuvunjika sehemu kubwa sana weakness inakuwa upande wa mwanamme. Sababu inaweza kuwa makosa uliyofanya wakati wa kuchagua mchumba au maisha baada ya kuoa. Sifa za mwanamke nitakazotaja inaweza ikaonekana namnyanyapaa mwanamke la hasha ni kwamba tu nataka tuwe realistic mambo yanayoleta mifarakano kwenye maisha ya ndoa. Here we go

1. Usioe mwanamke aliekuzidi umri. Wenzetu umri wao unaonekana unakwenda kwa kasi sana bila kujali ana matunzo ya aina gani. Hivyo basi mwanamke uliempita miaka mitano huko mbeleni yeye atakuwa mzee kuliko sasa je kama yeye kakupita umri je huoni utamchoka mapema sana?

2. Gap kati ya mwanaume na mwanamke isizidi miaka kumi ili ku maintain swala la kumtosheleza mwenza wako lifetime kulingana na umri wenu. Wanaume tukisha anza miaka 55 kuelekea 60 ukweli ni kwamba nguvu nazo zinaanza kupungua sasa kama umepishana umri mrefu na mke kubali kwamba utasaidiwa

3. Mwanamke mwenye mtoto. Kubali tusikubali hili nalo ni tatizo kubwa sana kwanza kwa kijana unakwaza wazazi wako. Kwanini uwaanzishie wazazi wako na wajukuu wakambo? Sawa umempenda mke wako japo ana mtoto lakini huoni kwamba mke ni wako sawa ila umeleta kwenye jamii yenu hivyo ni vizuri na wazazi na ndugu zako wakafurahia mtu asie na doa. Kwani vijana mnakosea wapi mbona wachumba bado wengi tu. Hapa siongelei case ya mjanae kukutana na mgane au Divorcee kukutana na Divorcee these could get married but a fresh young chap.

4. Mwanamke uliompora toka kwa mwanamme mwengine sababu ya pressure fulani either mwanamme alikuwa hana hela ukamzidi, either mwanamme alikuwa ameoa already, either mwanamme alienda kusoma. Kumbuka wanawake ni watu wenye huruma na kukumbuka sana. Ukioa mwanamke wa aina hii ataendelea kumriwadha huyo jamaa yake siku zote if the man would be interested. Lakini wewe pia utakuwa na kazi ya kumchunga huyo mke wako siku zote ili asije akakutana na ex wake. Hapa ndio maisha ya wivu kwa kwenda mbele kama nyie mnaishi Arusha na Ex anaishi Dar mama akisafiri kuelekea Dar na wewe unataka kwenda. Na ni kweli akienda kama wakifanikiwa kukutana watakulana tu.

Basi hizo ndizo tip zangu kwa leo na kama huniamini na una mchumba wa aina hiyo njoo inbox ni kushauri, kama pia unapitia kwenye experience hiyo come inbox

Ujanani Nimezaa na wanawake kadhaa na wote sikuwa naangalia vigezo vyako ila nilichojali ni ana nini kichwan na mtu asiyependa sana kujua mambo yangu binafs

Kigezo cha akili ndio muhimu zaid maana hata bila baba watoto kama mama yao kichwani zimo bhas hawatopata tabu sana

mimi kutokana na upumbavu wa akili za ujana wapo watoto nilitelekeza ila nilipokutana nao nilikuta wana maisha mazuri ambayo hata mimi nisingeweza kuwapa...mwisho niliangalia mwonekano wake pia.
Pawaga.
 
Aisee! Ni hatari saana kiukweli!

Yaani kuoa mwanamke aliye na mtoto kwa Tz, imeshakuwa kama dhambi! Sasa sijui tunaenda wapi jamii yetu!? Na unadhani wataolewa na nani! Pia nao wanahitaji faraja na upendo pia.
Nao wakishaolewa hawaachi kupasha viporo! Tatizo huanzia hapo!

Dah! Tumuachie Mungu tu aamue.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke aliyezaa halafu huyo aliyemzalisha bado yuko hai na hajataka kumuoa, jua kua hilo ni tatizo.

Mwanamke anaweza kuona mwanaume sahihi wa kumuoa ni yupi lakini akamtosa. kwasababu hana itikadi za kimjini anazozitaka yeye. Hivyo akashoboka na matozi ili mradi naye atambe kwa mashost zake kua naye anavijua viwanja

Mwisho wa siku anaishia kupata mimba halafu anakuja humu kulalamika kua wanaume tuache kuwasema singo maza
 
Back
Top Bottom