Shemd nakumiss mpaka naumwaa...
unavyonifanyia shemd sio kabisa umenitenga sana wangu
Shemd nakumiss mpaka naumwaa...
ahahahha lol kweli nimekumiss
unavyonifanyia shemd sio kabisa umenitenga sana wangu
mmmh ya kweli hayooo?
hii ndio MMU , wengine wanaponda hapa na wengine wanaenda kutafuta bahati PM...
ukiona hivyo ujue hadi hapa unapataka yaan mwanamke wewe mhhh
hii ndio MMU , wengine wanaponda hapa na wengine wanaenda kutafuta bahati PM...
kwani mimi na ww tuna utani
Nimefanyaje jamani...
may be vipi yule waruwaru wako hajambo?
unajisahaulisha?
mbona ninae pia au hujui
Okey karibu kwenye familia yetu
hivi unamjua Khantwe au unamsikia