Strong Side
Senior Member
- Sep 17, 2019
- 186
- 302
Mwanamke naye muhitaji naomba awe na sifa hizi.
1. Umri miaka 22 mpaka 28
2. Mcha Mungu
3. Awe ameajiriwa serikalini / sekta binafsi au mjasiriamali.
4. Kabila lolote
5. Dini yoyote (hapa tutakaa chini tuzungumze)
6. Umbo lolote
7. Asiwe na mtoto
8. Awe serious na mkweli.
9. Awe tayari kuja kuishi huku nilipo
Sifa zangu
1. Nina miaka 30
2. Ni muajiriwa serikalini
3. Ni kijana mwenye hofu ya Mungu
4. Elimu yangu ni kidato cha nne
5. Ni mrefu futi 6
6. Maji ya kunde
7. Sio mnene wastani
8. Dini Mkristo
9. Mwanaume kutoka moja ya mikoa ya kanda ya ziwa.
10. Nina mapenzi ya dhati
Sifa nyingine njoo PM tuwasiliane na nikupe mawasiliano zaidi.
Changamoto zangu
1. Ndio naanza maisha, sina gari wala nyumba ila usijali tutakaa hapa nilipo panga single room.
Ni hayo tu ndugu zangu.
1. Umri miaka 22 mpaka 28
2. Mcha Mungu
3. Awe ameajiriwa serikalini / sekta binafsi au mjasiriamali.
4. Kabila lolote
5. Dini yoyote (hapa tutakaa chini tuzungumze)
6. Umbo lolote
7. Asiwe na mtoto
8. Awe serious na mkweli.
9. Awe tayari kuja kuishi huku nilipo
Sifa zangu
1. Nina miaka 30
2. Ni muajiriwa serikalini
3. Ni kijana mwenye hofu ya Mungu
4. Elimu yangu ni kidato cha nne
5. Ni mrefu futi 6
6. Maji ya kunde
7. Sio mnene wastani
8. Dini Mkristo
9. Mwanaume kutoka moja ya mikoa ya kanda ya ziwa.
10. Nina mapenzi ya dhati
Sifa nyingine njoo PM tuwasiliane na nikupe mawasiliano zaidi.
Changamoto zangu
1. Ndio naanza maisha, sina gari wala nyumba ila usijali tutakaa hapa nilipo panga single room.
Ni hayo tu ndugu zangu.