Kwa Mwanamke Alo Serious Kuolewa tu

Kwa Mwanamke Alo Serious Kuolewa tu

mmp

Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
33
Reaction score
2
Wakuu habarini, ni mwanaume naishi dar umri 31yrs, din Rc,sina situmii kilevi chochote,sina mtoto wala sijawah kuo, elimu yangu ni chuo kikuu. natafuta mwanamke wa kuoa mwenye sifa hiz, umri 25-32, mweupe, mnene kias, mrefu kias, elimu kuanzia la saba mpk chuo kikuu.

Awe mwaminifu ktk ndoa.alie tayar atoe namba tuwasiliane tayar kwa mahusiano.
 
unatafuta humu JF wapo wengi ngoja watakuwa akina msalani.
 
Wakuu habarini, ni mwanaume naishi dar umri 31yrs,din Rc,sina situmii kilevi chochote,sina mtoto wala sijawah kuo,elimu yangu ni chuo kikuu.natafuta mwanamke wa kuoa mwenye sifa hiz,umri 25-32,mweupe,mnene kias,mrefu kias,elimu kuanzia la saba mpk chuo kikuu.awe mwaminifu ktk ndoa.alie tayar atoe namba tuwasiliane tayar kwa mahusiano

Nyie, kuto***za kipaji. Kuanzia mtaa, kijiji, mkoa, jimbo unalokaa umemkosa WA kumwoa , umeamua kabisa Kuja huku mtaa WA kongo! Utampata ILA tusilaumiane
 
Nyie, kuto***za kipaji. Kuanzia mtaa, kijiji, mkoa, jimbo unalokaa umemkosa WA kumwoa , umeamua kabisa Kuja huku mtaa WA kongo! Utampata ILA tusilaumiane
Haa ha ha...mtaa wa congo?mbona unatukatisha tamaa sie tunaotega kupata wake humu?
 
mitandao ya kijamii inawafanya mnakuwa madomo zege mnaniboa!!!
 
una elimu ya chuo kikuu? hata space kwenye maneno huachi.
 
Back
Top Bottom