johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,923
- 141,889
Prof Kabudi ni mtaalam wa sheria za ndoa na mirathi.kwa Prof.Kabudi kwenye sheria Tundu Lissu lazima akae chini na kurudi upya darasani.
Swala la Lisu ni la kikatiba na hapa mbobezi ni Dr Mwakyembe!