Emery Paper
JF-Expert Member
- Jun 1, 2019
- 1,429
- 2,713
Naona wamezichanga karata zao kwa ustadi mkubwa sana.
Mgonjwa anayerandaranda lakini mkono hauwezi kujaza fomu ya tamko la maliAliyeleta mada hajui lolote.
Kujaza fomu ya maadili ni jukumu la mbunge ambaye yupo kazini. Mbunge mgonjwa wakati wote akiwa mgonjwa yupo exempted na wajibu wa mbunge ambaye yupo kazini ikiwa ni pamoja na kuhudhuria vikao vya bunge na kamati.
Kesi ya TL ni moja tu, ni mgonjwa au siyo mgonjwa? Akithibitisha kuwa alikuwa mgonjwa na spika alikuwa anajua, kesi ya maadili itakuwa nayo imekufa.
Ndugu, inamaana umeshindwa hata kutofautisha Kati ya KUGOMBEA URAISI NA KUWA RAISI? Au unasahau kuwa wanagombea wengi lakini anachaguliwa mmoja? AU KWAKO WEWE KUGOMBEA URAISI MAANA YAKE NI KUPATA URAISI?Eti amepoteza sifa ya kungombea urais ,ni mpuuzi pekeee anayeweza amini kuwa Tunda Lisso anaweza kuwa rais Wa JMT,
Ndugu, inamaana umeshindwa hata kutofautisha Kati ya KUGOMBEA URAISI NA KUWA RAISI? Au unasahau kuwa wanagombea wengi lakini anachaguliwa mmoja? AU KWAKO WEWE KUGOMBEA URAISI MAANA YAKE NI KUPATA URAISI?
Nimekosea ni RAIS, badala ya RAISI.... Jibu hiyo hojaRAISI? ndo cheo gani Mkuu?
Wajifariji?Mhh huyu kafanya makusudi ili aunge mkono juhudi kwa staili yake.
Kweli mnamgwaya. Poleni kwani atarudi upya. Mungu aliyemponyesha kutoka kwenye lile shambulizi, atawashangaza tena. AMEN.Hii Sheria imemnyoa Tundu Lisu kiduku original
Aisee. Nashauri ungesoma tena ndio umpinge vizuri. Kaandika “Awe na sifa ya kuwa Mbunge” Hajasema kuwa lazima awe Mbunge. Nadhani ungepingana na hicho kipendele kama kipo badala ya kuunda dubwana lingine la kupambana nalo.Wewe na Bashir Yakub wote hamnazo, akina Dovutwa, Hashim Rungwe na Mziray wanapogombeága urais kila mwaka, wacha kila awamu, ni wabunge wa bunge gani? Achilia mbali maveteran kama akina Ibrahim Limpumba hadi wakaamua kukimbia na fito ya CUF.
johnthebaptist fafanua tafadhali.
Nimekupata chifu, ahsante sana.Aisee. Nashauri ungesoma tena ndio umpinge vizuri. Kaandika “Awe na sifa ya kuwa Mbunge” Hajasema kuwa lazima awe Mbunge. Nadhani ungepingana na hicho kipendele kama kipo badala ya kuunda dubwana lingine la kupambana nalo.
Nimekupata chifu, ahsante sana.Aisee. Nashauri ungesoma tena ndio umpinge vizuri. Kaandika “Awe na sifa ya kuwa Mbunge” Hajasema kuwa lazima awe Mbunge. Nadhani ungepingana na hicho kipendele kama kipo badala ya kuunda dubwana lingine la kupambana nalo.
Nchi naona itakuwa ya wavimba nyusoEti amepoteza sifa ya kungombea urais ,ni mpuuzi pekeee anayeweza amini kuwa Tunda Lisso anaweza kuwa rais Wa JMT,