Kwa muda mfupi sana kiongozi wa Tanzania alipata maadui wengi sana

Nilimwelewa Magu....
Uchumi wa nchi na watu uko kwenye infrustructures....
Vingine hivyo sijui demokrasia nini nilikuwa nawasaidia kulia kwa jicho moja
Kufaidika ni lazima uwe hapa nchini, hata ukiwa nje ya nchi kinaeleweka tu. Ni mambo ya connection zaidi.
 
Kwanza kabisa ni wanachama wenzake ambao walishazoea kupiga madili makubwa. Hawa walishazoea kukwapua mabil ya shilingi na wao huona kama wamekwapua shilingi elfu moja. Hawa walishamchukia sana kwa kuziba mianya yao ya upigaji.

Pili ni wanasiasa wa upinzani ambao baada ya kusambaratisha vyama vyao nao wakawa hoi kisiasa. Na vyama vyao vikwa vimeyumba kisiasa na kiuchumi.

Tatu ni wananchi ambao wengi walimuona kama kiongozi ambae ni dikteta hawa wengi walidai kupoteza jamaa zao au ndugu zao kwa kile kilichodaiwa ni watu wasiojulikana.

Nne ni wafanyabiashara ambao walizoea kuhujumu uchumi kwa kutengeneza bidhaa bandia, kukwepa kodi, wengi walikamatwa na kukwepa kodi na walikuwa magerezani kwa kuhujumu uchumi

Tano ni matapeli na wapigaji hawa walishazoea kulipwa mabilioni ya senti kwa kuwa na kampuni za mfukoni na walikuwa wakilipwa hata kama hawajafanya kazi.

Kwa ujumla kiongozi alikuwa na maadui wengii sana kwa muda mfupi.

Hivi ndivyo Africa ilivyo.
Wakuu, tuwashauri mfunike kombe mwana wa haramu apite! tukianza kumuanika huyo mwenda zake wenu hapa, hamtalala kwa mwaka mzima pengine na zaidi kwa majanga aliyoyasababisha kwa watanzania wenziwe na hata kwa nchi majirani! mnataka salama mkubali tu yaishe...msiendelee kutuchemsha!

Mnajaribu kulazimisha legacy isiyowezekana "why!!"... in Bwege's voice! Legacy hujiandika wenyewe si kitu cha kulazimishana, Mwalimu Nyerere na Maalim Seif ni mfano mzuri, hakuna alielazimishwa kuamini uzuri wao...ulikuwepo tu!!!

Acheni kabisa, Other wise mtaendelea kujigaragaza kwenye uvundo tu!
 
Nilimwelewa Magu....
Uchumi wa nchi na watu uko kwenye infrustructures....
Vingine hivyo sijui demokrasia nini nilikuwa nawasaidia kulia kwa jicho moja

Kama uchumi n i infrastructures, Nyerere na kina Mandela walikuwa wanamsumbulia nini Kaburu Pieter Botha.
 
Wachina walikwenda hivi kwa miaka isiyopungua 20 na leo tunawaona wako hapa ila sie miaka 5 tu ndg yetu washamuwaisha ahera, haitatokea tukajitegemea watanzania na daima tutaendelea kutawaliwa na kuonewa. Tumechukua upande wa wakataa pema sasa pabaya pametuita rasmi
Acha Tanzania iendelee kuwa maskini kuliko itawaliwe na wapuuzi kama yule alipata.
Binafsi nilifarijika sana kwa kifo chake .asante mungu Kafa
 
Kwanza kabisa ni wanachama wenzake ambao walishazoea kupiga madili makubwa. Hawa walishazoea kukwapua mabil ya shilingi na wao huona kama wamekwapua shilingi elfu moja. Hawa walishamchukia sana kwa kuziba mianya yao ya upigaji.

Pili ni wanasiasa wa upinzani ambao baada ya kusambaratisha vyama vyao nao wakawa hoi kisiasa. Na vyama vyao vikwa vimeyumba kisiasa na kiuchumi.

Tatu ni wananchi ambao wengi walimuona kama kiongozi ambae ni dikteta hawa wengi walidai kupoteza jamaa zao au ndugu zao kwa kile kilichodaiwa ni watu wasiojulikana.

Nne ni wafanyabiashara ambao walizoea kuhujumu uchumi kwa kutengeneza bidhaa bandia, kukwepa kodi, wengi walikamatwa na kukwepa kodi na walikuwa magerezani kwa kuhujumu uchumi

Tano ni matapeli na wapigaji hawa walishazoea kulipwa mabilioni ya senti kwa kuwa na kampuni za mfukoni na walikuwa wakilipwa hata kama hawajafanya kazi.

Kwa ujumla kiongozi alikuwa na maadui wengii sana kwa muda mfupi.

Hivi ndivyo Africa ilivyo.
Yule kiongozi (rip) alikuwa na akili fupi, ndogo na naamini kazi aliyoiparamia ya urais ilikuwa KUBWA kwake na ndo imemuua. Angekubali kuwa mbunge na wazuri mpaka leo angekuwepo hai.

Siku zote ukiwa na akiri fupi usipende madaraka Mana yatakuangamiza Kama ilivyotokea.
 
Unaongelea apartheid ya Tanzania?
Swali lako lina ni confuse kidogo ...

Ama ubaguzi wa weusi wapi sijui...

Kila taifa lina struggle kwa kilichowazidi....

Wengine dini, wengine drugs...

Kwetu struggle yetu ni tofauti. Umaskini wetu ni zaidi ya demokrasia.. ndio maana mwanasiasa nguli wa TZ akipewa cheo ama mshiko anatutosa... umaskini umefanya demokrasia kuwa na cheap price.

Tafuta mfano mwingine
Kama uchumi n i infrastructures, Nyerere na kina Mandela walikuwa wanamsumbulia nini Kaburu Pieter Botha.
 
Back
Top Bottom