Sio ana UKIMWI Fidel anaishi na Virusi Vya UKIMWI right?/
Najua kwasababu ni mwenyekiti wa chama fulani cha watu wanaoishi na virusi
DA, twende mbele na kurudi nyuma, tukiliacha swala la yeye kukutongoza akijua ww ni mke wa mtu.
kwanza, lazima tukubali ukweli kwamba huyo bwana ni jasiri sana na ni mkweli kwa nafsi yake. Anajua unajua yeye anaishi na VVU, if anything, atakuwa sio mwongo, kama angekuwa mwongo, asingekuwa na ujasiri wa kukutongoza.
Nafikiri huyu bwana atakuwa mkweli kwa wanawake wengine atakaokuwa anawatokea.
Pili, DA, ni wanaume wangapi usiojua status zao ambao wanakutongoza ww au wanawake wengine?
Which one is the lesser evil?
Mimi nachoona hapo ni kuwa huyo amedhamiria kuua wengine kitu ambacho najua fika kwamba hata Mungu naye atamuhukumu kwa jambo hilo ingekuwa busara sana kwa hali aliyonayo sasa hivi kuomba baraka na neema za Mwenyezi Mungu kumuwezesha aishi maisha marefu, kutubu dhambi na kufanya malipizi, sasa kama ndio hali iko hivyo sidhani hata kama uwepo wa Mungu upo hapo.
Eehh Mungu Baba tusamehe.
Watu wengine hovyooooooooooo!!! kabisa, badala ya kutulia na kumwomba Mungu amwongezee siku za kuishi yeye anafikiria kufa na wengi!!!!
si angeacha basi hata kumeza hizo dawa ili afe mapema? hajiheshimu kabisa huyo mzee, msamehe bure na tumwombee tuu maana hilo ni pepo.
Pole sana DA.
wengine wanashabikia na wanaona haki kabisa kwa mtu ambaye unamjua kabisa kuwa ameathirika na then wewe ukalale nae kwa condom
je ikifikia condom imepasuka inakuwaje
na je hata hiyo raha ya sex itakuwepo iwapo unajua kiuhakika kuwa unayesex nae ana huo ugonjwa
Yaani wewe acha tu siku yangu leo si nzuri kabisa
Pole DA...elimisha chama ulicho kwa kuwapa mwongozo na kuwaanika wote wenye tabia hizo chafu
Pole sana DA! Ila msamehe tu, na mweleze tu msimamo wako!
Nashangaa yaani watu wengine sijui wanafikiria kitu gani kushabikia ujinga.
Raha itoke wapi Rocky??? Kwanza utakuwa unafanya huku BP iko juu yanini yote hayo???