Mchaka Mchaka JF-Expert Member Jul 20, 2010 4,516 1,404 Aug 22, 2011 #22 Vijana wa chuo hawa! shenxyy kabisaa. halafu mbona sioni mguu wa pili wa huyo aliyempakata mwenzie? Sipingi hawa ni wale wale akina chocolate fleva!
Vijana wa chuo hawa! shenxyy kabisaa. halafu mbona sioni mguu wa pili wa huyo aliyempakata mwenzie? Sipingi hawa ni wale wale akina chocolate fleva!
Mabagala JF-Expert Member Nov 27, 2009 1,477 325 Aug 22, 2011 #24 Panafanana fanana na shule ivi ama bweni au hostel!!!
mama D JF-Expert Member Nov 22, 2010 19,763 35,205 Aug 22, 2011 #25 Anko Sam said: Jameni huu ni mwezi mtukufu, haya yametoka wapi? Click to expand... mwezi mtukufu utoke wapi ndugu yangu!!!??? mwezi hauwezi kuwa mtukufu wakati sisi bin adamu ni wachafu wa roho, akili na mwili!!
Anko Sam said: Jameni huu ni mwezi mtukufu, haya yametoka wapi? Click to expand... mwezi mtukufu utoke wapi ndugu yangu!!!??? mwezi hauwezi kuwa mtukufu wakati sisi bin adamu ni wachafu wa roho, akili na mwili!!
Deodat JF-Expert Member Sep 18, 2008 1,274 272 Aug 23, 2011 #28 Hawa sio waigizaji kweli? huyo anayecheka ni kama *Makiregani* wa zee komedi vile? Hata hivyo inakera sana wanaume wanapoigiza mambo ya kipuuzi.
Hawa sio waigizaji kweli? huyo anayecheka ni kama *Makiregani* wa zee komedi vile? Hata hivyo inakera sana wanaume wanapoigiza mambo ya kipuuzi.
Nebisirwe Senior Member Jul 27, 2011 169 20 Aug 23, 2011 #29 Hawa jamaa wasilete za kuleta hapa sio poa hii mazee