Kwa mtafaruku wa kisiasa uliolikumba taifa letu, hivi urais una nini mpaka Rais akiona anataka kupokwa anachukia hivi?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,086
6,568
Kupigiwa mizinga 21? , Kuwekewa red carpet? Kuvaa tai nyekundu? Kuwa na walinzi kama njugu?

Kuna nini kwenye haya mamlaka ya kutawala na kuwa mkuu wa nchi?

Je sio kuwatumikia na kuwaletea maendeleo wananchi? Kama ni hivyo kwa nini watawala wanachukia kusikia kuna mtu atawania au kutia nia?
 
Kupigiwa mizinga 21? , Kuwekewa red carpet? Kuvaa tai nyekundu? Kuwa na walinzi kama njugu?

Kuna nini kwenye haya mamlaka ya kutawala na kuwa mkuu wa nchi?

Je sio kuwatumikia na kuwaletea maendeleo wananchi? Kama. Ji hivyo kwa ni ni watawala wanachukia kusikia kuna mtu atawania au kutia nia?
Kuna mzigo wakubeba.
 
Huyo mwenyewe mtia Nia alitakiwa apitie njia zilezile za kuumiza wananchi na taifa. Tatizo ni kujifanya anatuonea huruma wakati ni adui mkubwa wa wananchi. Atuache tuuzwe yeye sio msemaji wetu
 
Swali zuri. Yule jamaa mwingine akaona isiwe shida. Akachapisha makaratasi yake ya kura na kujipigia majumbani na kuyaingiza kwenye vituo vya kupiga kura chini ya ulinzi wa polisi!!
Kupigiwa mizinga 21? , Kuwekewa red carpet? Kuvaa tai nyekundu? Kuwa na walinzi kama njugu?

Kuna nini kwenye haya mamlaka ya kutawala na kuwa mkuu wa nchi?

Je sio kuwatumikia na kuwaletea maendeleo wananchi? Kama. Ji hivyo kwa ni ni watawala wanachukia kusikia kuna mtu atawania au kutia nia?
 
Mara nyingi unakuta Rais hana shida. Tatizo ni watu wanaomzunguka Rais. Wale Inner Circle. Those at the centre of presidential power, Oligarchs!

Na unakuta Oligarchs wenyewe wakipewa uongozi, unawashinda ndani ya siku 90 tu.
 
... suluhisho ni Katiba Mpya yenye nguvu, taasisi kuwa huru, kudhiti madaraka ya viongozi, n.k. hamtaki! Unadhani viongozi (wenye kinga) wangejua baada ya madaraka wanaweza kushtakiwa kwa madudu wanayofanya wakiwa madarakani wangefanya hivyo?

Hiyo ni namna mojawapo ya kudhibiti madara ya viongozi na kuwafanya wawe responsible zaidi badala ya kuwaza ushindi muda wote hata kwa kucheza rafu; rafu ambazo hata kuhojiwa mahamakani Katiba (ya sasa) imekataza! Hatari sana!
 
... suluhisho ni Katiba Mpya yenye nguvu, taasisi kuwa huru, kudhiti madaraka ya viongozi, n.k. hamtaki! Unadhani viongozi (wenye kinga) wangejua baada ya madaraka wanaweza kushtakiwa kwa madudu wanayofanya wakiwa madarakani wangefanya hivyo?

Hiyo ni namna mojawapo ya kudhibiti madara ya viongozi na kuwafanya wawe responsible zaidi badala ya kuwaza ushindi muda wote hata kwa kucheza rafu; rafu ambazo hata kuhojiwa mahamakani Katiba (ya sasa) imekataza! Hatari sana!
Totally out!!!
 
Kupigiwa mizinga 21? , Kuwekewa red carpet? Kuvaa tai nyekundu? Kuwa na walinzi kama njugu?

Kuna nini kwenye haya mamlaka ya kutawala na kuwa mkuu wa nchi?

Je sio kuwatumikia na kuwaletea maendeleo wananchi? Kama. Ji hivyo kwa ni ni watawala wanachukia kusikia kuna mtu atawania au kutia nia?
Kamuulize Trump hilo swali anaweza kuwa na jibu zuri zaidi ya wote.
 
We unafikiri ni sawa watu kuacha kazi za kujenga nchi na kuwa busy kuutafuta Urais..?
 
Kupigiwa mizinga 21? , Kuwekewa red carpet? Kuvaa tai nyekundu? Kuwa na walinzi kama njugu?

Kuna nini kwenye haya mamlaka ya kutawala na kuwa mkuu wa nchi?

Je sio kuwatumikia na kuwaletea maendeleo wananchi? Kama. Ji hivyo kwa ni ni watawala wanachukia kusikia kuna mtu atawania au kutia nia?
Hili swali lillikuwa zuri zaidi kumuuliza Marehemu nini kilifuata baada ya kusikia Membe anaimendea nafasi yake
 
Katiba inaruhusu mtu mwenye sifa kugombea nafasi yoyote ile ya uongozi, inamruhusu kufanya shughuli za kisiasa na sioni kwanini iwe jinai mtu kufanya mipango yake ya kugombea nafasi gani kama hafanyi mipango ya mapinduzi.
 
Katiba inaruhusu mtu mwenye sifa kugombea nafasi yoyote ile ya uongozi, inamruhusu kufanya shughuli za kisiasa na sioni kwanini iwe jinai mtu kufanya mipango yake ya kugombea nafasi gani kama hafanyi mipango ya mapinduzi.
Upo sawa kabisa.
 
Kupigiwa mizinga 21? , Kuwekewa red carpet? Kuvaa tai nyekundu? Kuwa na walinzi kama njugu?

Kuna nini kwenye haya mamlaka ya kutawala na kuwa mkuu wa nchi?

Je sio kuwatumikia na kuwaletea maendeleo wananchi? Kama ni hivyo kwa nini watawala wanachukia kusikia kuna mtu atawania au kutia nia?
Hivi na Ulaya/ Amerika nao wanakaripio kali kama Africa iwapo mtu atatangaza nia mapema.
 
Back
Top Bottom