Kwa mswati kutamuu

Kwa mswati kutamuu

Wabongo wengi sana wamepoteza maisha South kisa wazulu RIP Omolo Chale makum..! Kapinga na wengine

Mkuu mshana jr, ila mimi namshukuru Mungu nimeyahifadhi, maana mpaka sasa kwa mujibu wa Angaza na Hospitali ya TPDF wakati wa 7, 7 damu yangu ilikuwa safi. Hata hivyo, nilipokuwa nikiamuka asubuhi baada ya kuoga, nikishakunywa chai kabla sijiondoka kwenye kazini au shule, nilikuwa navaa condom moja kwa moja maana huwezi jua wapi utakutana na totozi. Halafu kule mtoto anaambiwa ni marufuku kumnyima mwanaume, tofauti na Tz ambapo anaambiwa ni marufuku kumpa mwamaume, halafu kule wanaume ni wachache na ukiwa mgeni unaweza kurudi hiyo mali ikiwa eroded.
 
Last edited by a moderator:
Albino naye ndani.......

Reed-maidens.jpg


Kwa njia hii acha washinde zile tuzo za mama huruma
 
Hahahahaaa hahahahaaa let me reserve my story kwenye kitongoji cha Zithobeni Mphumalanga Province, aisee wanawake wa Kizhulu hawathamini kabisa nyeti zao, naona utawala wa ubaguzi wa rangi uliwaathiri vibaya sana

Halafu sasa sio wachoyo kabisa yani ni kawaida kabisa kuambiwa am tired this side please change side

Embu funguka mkuu acha kutubania bana
 
Mkuu mshana jr, ila mimi namshukuru Mungu nimeyahifadhi, maana mpaka sasa kwa mujibu wa Angaza na Hospitali ya TPDF wakati wa 7, 7 damu yangu ilikuwa safi. Hata hivyo, nilipokuwa nikiamuka asubuhi baada ya kuoga, nikishakunywa chai kabla sijiondoka kwenye kazini au shule, nilikuwa navaa condom moja kwa moja maana huwezi jua wapi utakutana na totozi. Halafu kule mtoto anaambiwa ni marufuku kumnyima mwanaume, tofauti na Tz ambapo anaambiwa ni marufuku kumpa mwamaume, halafu kule wanaume ni wachache na ukiwa mgeni unaweza kurudi hiyo mali ikiwa eroded.

Hahahahaaa hii kali na kubwa kuliko sawabho, na ndio maana rate ya ukimwi iko juu sana South, halafu kama kuna kitu wana allergy nacho basi ni kondom
 
Last edited by a moderator:
mshana jr, karibu Babati, huna haja ya kwenda kwa Mswati, Njoo ufaudu vitoto vya ki-iraq.

Eeh!!! mkuu nilikuwa nina plan ya kutafuta mfanyakazi wa ndani kutoka huko inakuwaje tunaweza kusaidiana katika hilo?
 
Kwa ufupi sana ni kwamba wanaenjoy mno ngono chafu na ya kibazazi halafu hawaoni kinyaa kushare! Wanapenda mno kuliwa mtungo

Duh!!! Sipatii picha kama mademu wetu wa kiTZ wangekuwa na hulka kama mademu wa kisauzi
 
Duh!!! Sipatii picha kama mademu wetu wa kiTZ wangekuwa na hulka kama mademu wa kisauzi

Wanawake wa kitanzania wana staha heshima na adabu za kweli, na ukioa mtanzania umepata mke! Ila ukioa South umeolea jumuiya
 
Tena hawanaga roho mbaya!, "hata yale maharage ya kule kwa maji mara moja", yanachelewa kuiva!, ukigusa tuu...!, twende!. Wewe tuu!.
P.

Ndo maana rate ya maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi yako juu sana Swaziland.. 26 percent of adults in the 15-49 age group are Hiv positive huko Swaziland and it's the world's highest estimated prevalence rate of Hiv infected adults..
So Pasco watch out kama ukienda huko.. Takwimu zinatisha..
:behindsofa:
 
Last edited by a moderator:
kumbe mijitu yenye ukimwwi tunayo mengi wallahi
Alubulushi, kuwaita wenye Ukimwi "mijitu" ni kuwanyanyapaa!. Lugha stahiki ni "kumbe watu yenye ukimwwi tunao wengi",
Hii ni kweli, tuna watu wengi wenye ukimwi, ila pia tuna watu wengi zaidi wanaoishi na VVU, kuliko hata hao wenye ukimwi!, namna pekee ya kuwajua hao, wanaishi na VVU ni kwa kupima!. Mimi sijijua kama ninavyo, au ninao kwa sababu huwa sipimi!.

Pasco
 
Hakanagedeha kavu mwanzo kati mwisho mamamaeeeee
 
Back
Top Bottom