Kwa mswati kutamuu

Kwa mswati kutamuu

Hiyo sijui saa nne kabisa!!!Halafu unaweza kukuta bado ana kizibo na majanda yake kabisa
 
Du!, tatizo la Wa South!, hawakolei!, wamekuwa kama wazungu hadi taste, nathani ni sababu ya climate yao baridi hadi miili!.

Mimi kinachonichosha kwenye dressing zao, ni vile vimini vya ajabu ndio uniforms za shule!, ukijumlisha na hayo maombo makubwa!, paja, bust na rangi zao nyeupe, nachoka kabisa!, issue inabaki moja tuu, ladha!.

P.

Mwiko sketi kuvuka paja 1416297697938.jpg
 
Pasco sasa sijajua kosa lilikua lako au la dem hahaa maana siku moja tu kahamia kwa mkenya? Afu nasikia wakaka wa kikenya wabovu kunako 6 kwa6.
 
Tukiwa mkutano fulani wa Human Rights, Lusaka, hoteli ya Pamodzi, host wetu ili ku save cost, wakatupangia shared rooms kwa country men. room mate wangu akafika bei kwa Mswazi mmoja, akakubaliwa tatizo likawa tuko shared room mimi nitakwenda wapi?!, demu akamwambia no problem, mimi ndio nitamtoa room mate wangu aje kwako, na wewe si una room mate?!, jamaa aliponipa huo mchongo, nikaona kama zali, maana sample za Zambia, ni kama za Malawi au Nchumbiji, ukiachia wamulato, wengi wote wako wako tuu, sura za kiume!.

Nikawa introduced kwa huyo room mate, you don't have to say much!, (japo kunako, sio kivile kama hivyo visura!), ni mpaka asubuhi!, akarudi kwake na room mate wangu karudi tukahadidhiana tulivyo faidi!. Siku ya nikijua ni hivyo hivyo kama jana!, kumbe kwenye conference,kuna mtu kaona, kafika bei, kaamua kulipia full full room peke yake, room mate wangu kaenda akakuta anasubiriwa, mimi ni subiri, subiri na wewe!, napiga simu kule naambia katoka, hayupo!. Siko hiyo ikapita bila bila, jamaa akanipa tuu pole!.

Kesho yake kwenye conference room namuona mimi najifanya kukasirika kuwa jana ulilala wapi?, huwezi amini, nilishikwa mkono nikaonyeshwa this is my new friend from Kenya, this is my friend from Tanzania!, that was it!. Yule demu wa room mate wangu, akaniambia don't mind, after all I'm the one who gave you my sister, don't worry she can came back to you tomorrow!, nilisusa!.

Wenzetu sio wachoyo kabisa!, wanagawa tuu kama pipi, bila aibu na bila any regret, hivyo hilo ziwa ni hapo tuu, asili yao hawana hata lile vazi la pich.!, ile issue ni kama kushake hands tuu!.


P.

kumbe mijitu yenye ukimwwi tunayo mengi wallahi
 
Tukiwa mkutano fulani wa Human Rights, Lusaka, hoteli ya Pamodzi, host wetu ili ku save cost, wakatupangia shared rooms kwa country men. room mate wangu akafika bei kwa Mswazi mmoja, akakubaliwa tatizo likawa tuko shared room mimi nitakwenda wapi?!, demu akamwambia no problem, mimi ndio nitamtoa room mate wangu aje kwako, na wewe si una room mate?!, jamaa aliponipa huo mchongo, nikaona kama zali, maana sample za Zambia, ni kama za Malawi au Nchumbiji, ukiachia wamulato, wengi wote wako wako tuu, sura za kiume!.

Nikawa introduced kwa huyo room mate, you don't have to say much!, (japo kunako, sio kivile kama hivyo visura!), ni mpaka asubuhi!, akarudi kwake na room mate wangu karudi tukahadidhiana tulivyo faidi!. Siku ya nikijua ni hivyo hivyo kama jana!, kumbe kwenye conference,kuna mtu kaona, kafika bei, kaamua kulipia full full room peke yake, room mate wangu kaenda akakuta anasubiriwa, mimi ni subiri, subiri na wewe!, napiga simu kule naambia katoka, hayupo!. Siko hiyo ikapita bila bila, jamaa akanipa tuu pole!.

Kesho yake kwenye conference room namuona mimi najifanya kukasirika kuwa jana ulilala wapi?, huwezi amini, nilishikwa mkono nikaonyeshwa this is my new friend from Kenya, this is my friend from Tanzania!, that was it!. Yule demu wa room mate wangu, akaniambia don't mind, after all I'm the one who gave you my sister, don't worry she can came back to you tomorrow!, nilisusa!.

Wenzetu sio wachoyo kabisa!, wanagawa tuu kama pipi, bila aibu na bila any regret, hivyo hilo ziwa ni hapo tuu, asili yao hawana hata lile vazi la pich.!, ile issue ni kama kushake hands tuu!.


P.

Mkuu Pasco, Basi Mkuu, umenikumbusha kitu nilipokuwa kwenye kozi fulani kule Manzini, usiku tunajirusha Club if Not why Not , mchana hususan week'nd tunaekea Manatanga Cultural Cntre na Ngwenya Glass Works. Basi si nikapata Mdada wa Kiswatsi anaitwa Sibongile na umbile lake unalolifahamu kama walivyo, nikaendelea kujitwalia lakini nikiwa natumia kinga kama kawaida nisije kuwahi kufika kwa Baba maana bado sijapakumbuka. Siku moja kaniacha mdomo wazi, alikuja na Mdada mwingine, kwa jinsi unavyonifurahisha nimekupenda sana ila "huyu rafiki yangu hajapata mwanaume kwa muda mrefu, naomba leo uwe naye" !!!!!!!. Kwanza sikumwelewa, nikadhani anatania, aliposisistiza nikaona yuko serious, tukaendelea kupiga kinywaji, baadaye huyo akaturudisha hotelini (Home stay) tena kwa gari lake, akaniachia rafiki yake nikajisavia, kesho yake akampitia wakenda wote kazini, nikaendelea kubaki mdomo wazi, jioni akaja pekee yake kwenye shughuli kama kawaida, niliposimulia marafiki zangu wa huko wakasema hiyo ni kawaida kwa wanawake ila kwa wanaume haiwezekani na wana wivu sana, unaweza kuchomwa kisu au kupigwa risasi kama ukikutwa na Mpenzi wa mtu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pasco, Basi Mkuu, umenikumbusha kitu nilipokuwa kwenye kozi fulani kule Manzini, usiku tunajirusha Club if Not why Not , mchana hususan week'nd tunaekea Manatanga Cultural Cntre na Ngwenya Glass Works. Basi si nikapata Mdada wa Kiswatsi anaitwa Sibongile na umbile lake unalolifahamu kama walivyo, nikaendelea kujitwalia lakini nikiwa natumia kinga kama kawaida nisije kuwahi kufika kwa Baba maana bado sijapakumbuka. Siku moja kaniacha mdomo wazi, alikuja na Mdada mwingine, kwa jinsi unavyonifurahisha nimekupenda sana ila "huyu rafiki yangu hajapata mwanaume kwa muda mrefu, naomba leo uwe naye" !!!!!!!. Kwanza sikumwelewa, nikadhani anatania, aliposisistiza nikaona yuko serious, tukaendelea kupiga kinywaji, baadaye huyo akaturudisha hotelini (Home stay) tena kwa gari lake, akaniachia rafiki yake nikajisavia, kesho yake akampitia wakenda wote kazini, nikaendelea kubaki mdomo wazi, jioni akaja pekee yake kwenye shughuli kama kawaida, niliposimulia marafiki zangu wa huko wakasema hiyo ni kawaida kwa wanawake ila kwa wanaume haiwezekani na wana wivu sana, unaweza kuchomwa kisu au kupigwa risasi kama ukikutwa na Mpenzi wa mtu.

Wabongo wengi sana wamepoteza maisha South kisa wazulu RIP Omolo Chale makum..! Kapinga na wengine
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom