Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 1,932
- 4,086
Mikopo ni chanzo cha umaskini kwa maskini kwasababu wengi hawana financial education ila kwa matajiri hakuna kitu kinawatajirisha kama mikopo. Mataasisi mengi makubwa yanaendeshwa kwa mikopo humu duniani. Elimu za uchumi na uwekezaji zimetupitia kushoto kwa hiyo usitegemee kuwa utanufaika na mkopowanasema mkopo ni chanzo. cha umasikini nilitegemea wamshauri mjuba alternative ili ajiendeleze vizur kifedha