Wakuu,
Nimepata kazi kwenye kampuni moja, mshahara ni 1.4M gross salary. Nina mkopo wa bodi ambapo nilipewa kama 84% ya ada.
Kwa mshahara huo baada ya kuondoa makato yote nitapokea kiasi gani?
Na je, kiwango cha mwisho cha kukopa benki ni kiasi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepata kazi kwenye kampuni moja, mshahara ni 1.4M gross salary. Nina mkopo wa bodi ambapo nilipewa kama 84% ya ada.
Kwa mshahara huo baada ya kuondoa makato yote nitapokea kiasi gani?
Na je, kiwango cha mwisho cha kukopa benki ni kiasi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app