Kwa mshahara huu kweli nitaweza kujenga nyumba?

Kwa mshahara huu kweli nitaweza kujenga nyumba?

Kwani lazima upange nyumba au chumba cha laki moja???? kwani ukikaa tandale ukalipa kodi 30000,, halafu ukawa unajipanga mdogo mdogo??
hiyo 350000 weka 200000 kwa miezi mitatu utakuwa na 600000 fungua kijiwe cha chips mahali,, na miezi mitatu mingine fanya mtaji wa mpesa,, miezi mitatu mingine boresha kijiwe chako cha chips - miezi mitatu mingine fungua kibanda uza hata nyanya,mchele, ikiwezekana rudisha chumba ulale kibandani na dogo wa kibandani - ndani ya miaka minne lazima utoke na hiyo kazi utaona haina maana tena au utakuwa unauwezo wa kusave hadi 1mill kwa mwezi nje ya kazi...
Tatizo mnataka mkae mbezi beach na sinza,, jioni kwenye vipub na club mnataka mtanue na mademu wasaka noti huku vipato vyenu vidogo-- sio lazima utombe kila siku unaweza ukafanya maramoja kwa mwezi tena unatafuta kahaba wa 30000 mpaka asubuhi unakula mzigo bila kusahau condom.. ukiwa mtafutaji tafuta kweli na sio maigizo,, maigizo waachie akina diamond bro.. MSAKA NOTI HUJINYIMA KWA MALENGO MAALUMU...
 
haya. inatosha Kununulia Altezza na kukesha bar


Bro hizo ndio akili zao kuwaza luxury kwanza na mwisho wa siku huona vipato havitoshi... Mtu kama huyo utakuta kila siku jioni kwenye vipub sinza anakula bia na watoto kike, anawakodia tax au bajaj Halafu anakwambia 600000 haitoshi baada ya kuchekecha kutoka kwenye hiyo 600000 afanyeje kwa kuitumia hiyo 600000 aingize 1000000..
 
Kwani lazima upange nyumba au chumba cha laki moja???? kwani ukikaa tandale ukalipa kodi 30000,, halafu ukawa unajipanga mdogo mdogo??
hiyo 350000 weka 200000 kwa miezi mitatu utakuwa na 600000 fungua kijiwe cha chips mahali,, na miezi mitatu mingine fanya mtaji wa mpesa,, miezi mitatu mingine boresha kijiwe chako cha chips - miezi mitatu mingine fungua kibanda uza hata nyanya,mchele, ikiwezekana rudisha chumba ulale kibandani na dogo wa kibandani - ndani ya miaka minne lazima utoke na hiyo kazi utaona haina maana tena au utakuwa unauwezo wa kusave hadi 1mill kwa mwezi nje ya kazi...
Tatizo mnataka mkae mbezi beach na sinza,, jioni kwenye vipub na club mnataka mtanue na mademu wasaka noti huku vipato vyenu vidogo-- sio lazima utombe kila siku unaweza ukafanya maramoja kwa mwezi tena unatafuta kahaba wa 30000 mpaka asubuhi unakula mzigo bila kusahau condom.. ukiwa mtafutaji tafuta kweli na sio maigizo,, maigizo waachie akina diamond bro.. MSAKA NOTI HUJINYIMA KWA MALENGO MAALUMU...

I like you
 
Kaka huo mshahara ni mkubwa sana maisha ni mipango mimi nalipwa laki saba na kwa sasa nina nyumba ya room nne sebule iliogawanyishwa sehemu ya sitting room na dining vyoo viwili cha kwenye master na kimoja cha public na gari aina ya Toyota raum na nyumba nimepiga ukuta bado sijamalizia tu electricity fence ya mizunguko saba ya waya jipange fresh utaweza kaka

Wewe ni mwongo na kama imejenga kwa mshahara tuu utakuwa ni mwizi wa mali ya uma
 
Kwahiyo sio hiyo laki saba pekee iliyojenga, ni hiyo laki saba jumlisha na mavuno kutoka kwenye hizo heka nane. Jaribu kunyumbua mavuno yako katika hizo heka nane kwa mwaka halafu ndio utajua pato lako la jumla la mwezi ni kiasi.

Nasema ni laki saba kwasababu ni huo mshahara natumia kulimia kwa trector palizi na mbegu pia na vibarua na mwisho nauza mazao yakiwa na bei ya juu napiga hela safi inaelekezwa kwenye mipango mingine katika maisha
 
Kwani lazima upange nyumba au chumba cha laki moja???? kwani ukikaa tandale ukalipa kodi 30000,, halafu ukawa unajipanga mdogo mdogo??
hiyo 350000 weka 200000 kwa miezi mitatu utakuwa na 600000 fungua kijiwe cha chips mahali,, na miezi mitatu mingine fanya mtaji wa mpesa,, miezi mitatu mingine boresha kijiwe chako cha chips - miezi mitatu mingine fungua kibanda uza hata nyanya,mchele, ikiwezekana rudisha chumba ulale kibandani na dogo wa kibandani - ndani ya miaka minne lazima utoke na hiyo kazi utaona haina maana tena au utakuwa unauwezo wa kusave hadi 1mill kwa mwezi nje ya kazi...
Tatizo mnataka mkae mbezi beach na sinza,, jioni kwenye vipub na club mnataka mtanue na mademu wasaka noti huku vipato vyenu vidogo-- sio lazima utombe kila siku unaweza ukafanya maramoja kwa mwezi tena unatafuta kahaba wa 30000 mpaka asubuhi unakula mzigo bila kusahau condom.. ukiwa mtafutaji tafuta kweli na sio maigizo,, maigizo waachie akina diamond bro.. MSAKA NOTI HUJINYIMA KWA MALENGO MAALUMU...
Unamasihara kweli😂😂😂kuhusu malaya mm sio mambo yangu ...alafu ebu acha utani nilale kibandani hela sasa natafuta ya nn??
 
Unamasihara kweli😂😂😂kuhusu malaya mm sio mambo yangu ...alafu ebu acha utani nilale kibandani hela sasa natafuta ya nn??

Kwa hiyo ww hau_sex,yeye amizingatia swala la sex kuwa haliepukiki kwa mwanaume..pesa unatafuta kwaajili ya kujenga maisha yako na ili kupata maganikio ya kweli lazima upitie pagumu
 
Huwezi kwa kujenga nyumba ya vyumba vinne na ukuta na gari kwa hiyo serving! I hiyo ni matofali 2,500, maximum, kila tofali 1000/-, cement mifuko 80, kila mfuko 12,000/- bati za mchina na roofing ni kama milion 15! Milango na mbao, grill na madirisha ya alminium ni kama milion 8, rangi kama milion 1, umeme installation na kuhonga tanesco mpaka ukufikie ni kama milion 2.5, kuchimba maji ya miundombinu yake ni kama 5 milion, chemba za maji taka na miundombinu yake, kama 1.6 milion, tiles kama decorations zingine!

Mkuu huwezi kujenge kwa hiyo salary... never on earth. Labda ka unaishi nje ya jiji na unakaa kwa wazazi, unaweza kujibana kwa miaka kadhaa ukapata kibanda, but not dream house....

Mimi ndio ninaekueleza hautaki potezea maji sijachimba yamejaa mtaani kwetu nyumba mpaka ikaisha imenigarimu million 47875000 pamoja na ukuta nimenunua gari milioni tisa na laki saba nilianza kwa kununua vitu kidogo kidogo kama bati misumari tofali nk na nilikua nakaa kwenye geto langu home tu sikua nalipia kodi sasa hautaki shauri lako unataka weka plan chukua hatua ndugu
 
Tafuta alternative ya kukuza iko kipato kwanza
 
Nasema ni laki saba kwasababu ni huo mshahara natumia kulimia kwa trector palizi na mbegu pia na vibarua na mwisho nauza mazao yakiwa na bei ya juu napiga hela safi inaelekezwa kwenye mipango mingine katika maisha

Means laki saba ni mtaji wako unaotumia kuzalishia. Halafu unachozalisha kwa hiyo laki saba ndicho unachotumia kufanyia mambo yako ya maendeleo.
 
Mimi ndio ninaekueleza hautaki potezea maji sijachimba yamejaa mtaani kwetu nyumba mpaka ikaisha imenigarimu million 47875000 pamoja na ukuta nimenunua gari milioni tisa na laki saba nilianza kwa kununua vitu kidogo kidogo kama bati misumari tofali nk na nilikua nakaa kwenye geto langu home tu sikua nalipia kodi sasa hautaki shauri lako unataka weka plan chukua hatua ndugu

na ndio maana watu wanakwambia wewe si wakusema umejenga kwa mshahara wa laki saba ,ila ulikuwa na mtaji wa mashamba ya urithi , nyumba ya urithi ambayo ulikuwa hulipi kodi,na laki saba kila mwezi(mshahara), ambavyo vimekuwezesha kununua gari nakujenga nyumba.hu reflect maisha ya kawaida ya kijna wa leo wa tanzania aliyetokea kigoma na kuja kufanya kazi dar.hana urith wa kiwanja hapa dar na analipa kodi na anategemewa na wazazi na wadogo zake huko kigoma
 
Ndugu yangu kujenga kwa pesa hiyo utasubiri saana labda uwe mwizi. Nakushauri jifunze biashara ya mtandao au network marketing, mtaji ni mdogo lakini utafundishwa ukiwa serious baada ya miaka isiyozidi mitano utajenga nyumba yako.

Nicheki watsap 0767211457 nikupe Maelezo ya kina.
 
Nina ndugu yangu yeye anafanya kazi masaki,amepanga g.mboto,amenunua pikipiki ili awahi kufika kazini,wakati angeweza kupanga msasani akaenda kazini kwa miguu na pesa aliyonunulia pikipiki anunue kiwanja....ni mipango tu kwanini mtu uwe na simu tatu jamani

Badirisha avatar yako haivutuu kabisa be real banaa weka hata picha ya hindii
 
ili ujenge lazima uwe mwizi au uwe na kipato kingine cha halali au lah
 
Ndugu yangu kujenga kwa pesa hiyo utasubiri saana labda uwe mwizi. Nakushauri jifunze biashara ya mtandao au network marketing, mtaji ni mdogo lakini utafundishwa ukiwa serious baada ya miaka isiyozidi mitano utajenga nyumba yako.

Nicheki watsap 0767211457 nikupe Maelezo ya kina.
Nawaogopa forever living kama ukoma. ..nlishafanya hyo network marketing nikiwa chuo
 
Maana wengine walidhani Forever ni DESI unapanda usubiri kuvuna, bila kujituma Forever utakimbia au hukupata kiongozi mzuri
 
Back
Top Bottom