Kwa mshahara huu kweli nitaweza kujenga nyumba?

Kwa mshahara huu kweli nitaweza kujenga nyumba?

nimechafukwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
290
Reaction score
237
Mshahara 600.000, pango la nyumba 100.000 kwa mwezi, nakula 200.000 kwa mwezi.

Hela ya umeme na maji 25000, nauli 30000 kwa mwezi, sina mpenzi.

Hivi kwa mnaolipwa huo mshahara mmeweza hata kununua kiwanja?
 
Kaka huo mshahara ni mkubwa sana maisha ni mipango mimi nalipwa laki saba na kwa sasa nina nyumba ya room nne sebule iliogawanyishwa sehemu ya sitting room na dining vyoo viwili cha kwenye master na kimoja cha public na gari aina ya Toyota raum na nyumba nimepiga ukuta bado sijamalizia tu electricity fence ya mizunguko saba ya waya jipange fresh utaweza kaka
 
Kaka huo mshahara ni mkubwa sana maisha ni mipango mimi nalipwa laki saba na kwa sasa nina nyumba ya room nne sebule iliogawanyishwa sehemu ya sitting room na dining vyoo viwili cha kwenye master na kimoja cha public na gari aina ya Toyota raum na nyumba nimepiga ukuta bado sijamalizia tu electricity fence ya mizunguko saba ya waya jipange fresh utaweza kaka
lazima utakuwa mwizi...halafu ooohh lowasa fisadi!!!
 
Kaka huo mshahara ni mkubwa sana maisha ni mipango mimi nalipwa laki saba na kwa sasa nina nyumba ya room nne sebule iliogawanyishwa sehemu ya sitting room na dining vyoo viwili cha kwenye master na kimoja cha public na gari aina ya Toyota raum na nyumba nimepiga ukuta bado sijamalizia tu electricity fence ya mizunguko saba ya waya jipange fresh utaweza kaka

I doubt it...umekaa kazini kwa miaka Mi ngapi? Kwa mwezi ulikua u nasave kiasi gani?..unaishi mkoa gani?..ulichukua mkopo?
 
Hakuna noma ndugu yangu ila mungu anajua sijamuibia mtu wewe weka tu mipango utafanikiwa tumia pesa hizo za mshahara wekeza kwenye kilimo baadhi ni pia nunua vitu kidogo kidogo kisha utahamaki tu nyumba imekamilika kabla hata haujaanza fanya long term planing ndugu yangu maisha si masiara
 
Kaka huo mshahara ni mkubwa sana maisha ni mipango mimi nalipwa laki saba na kwa sasa nina nyumba ya room nne sebule iliogawanyishwa sehemu ya sitting room na dining vyoo viwili cha kwenye master na kimoja cha public na gari aina ya Toyota raum na nyumba nimepiga ukuta bado sijamalizia tu electricity fence ya mizunguko saba ya waya jipange fresh utaweza kaka
Hujategea mshahara na haupo dsm.
Ingetakiwa uwe na ghorofa bas
 
Kaka huo mshahara ni mkubwa sana maisha ni mipango mimi nalipwa laki saba na kwa sasa nina nyumba ya room nne sebule iliogawanyishwa sehemu ya sitting room na dining vyoo viwili cha kwenye master na kimoja cha public na gari aina ya Toyota raum na nyumba nimepiga ukuta bado sijamalizia tu electricity fence ya mizunguko saba ya waya jipange fresh utaweza kaka

Uutakua CCM.
 
I doubt it...umekaa kazini kwa miaka Mi ngapi? Kwa mwezi ulikua u nasave kiasi gani?..unaishi mkoa gani?..ulichukua mkopo?

Kujenga si lazima utegemee mshahara tu.
Kuna watu wengine ni waajiriwa na kwa upande wa pili wanaendesha biashara zao zinazowaingizia kipato zaidi.

Ila hata kwa kuetegemea mshahara pia unaweza kujenga..., ukitumia mshahara kama dhamana ya kuchukua mikopo Saccos/benki na kadhalika..., ila unaweza ukatumia muda mrefu kumaliza ujenzi kulingana na kiwango unachoweza kukopesheka na aina ya nyumba unayojenga.
 
Kaka huo mshahara ni mkubwa sana maisha ni mipango mimi nalipwa laki saba na kwa sasa nina nyumba ya room nne sebule iliogawanyishwa sehemu ya sitting room na dining vyoo viwili cha kwenye master na kimoja cha public na gari aina ya Toyota raum na nyumba nimepiga ukuta bado sijamalizia tu electricity fence ya mizunguko saba ya waya jipange fresh utaweza kaka

Wewe utakua mpiga "deal" wa mjini.
 
UMESEMA UNALIPWA:

mshahara 600,000/- (am assuming hii ndo take home)

MATUMIZI:

kodi 100,000/-
chakula 200,000/-
umeme 25,000/-
nauli 30,000/-

JUMLA: 355,000/-

BAKI MFUKONI KWAKO KWA ANASA NA KUHONGA TSH. 245,000/- (Hizi ukizitumia vyema unaweza kujenga bro)

HAKUNA uchawi wala ndumba... #inawezekana #anzaKubadilika wewe kwanza...
 
Kaka huo mshahara ni mkubwa sana maisha ni mipango mimi nalipwa laki saba na kwa sasa nina nyumba ya room nne sebule iliogawanyishwa sehemu ya sitting room na dining vyoo viwili cha kwenye master na kimoja cha public na gari aina ya Toyota raum na nyumba nimepiga ukuta bado sijamalizia tu electricity fence ya mizunguko saba ya waya jipange fresh utaweza kaka

safi sana mkuu, ww ni mfano bora, kwenye maisha siku zote ni kuishi below your means, hapo lazma utafsnikiwa
 
Back
Top Bottom