nimechafukwa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 290
- 237
Mshahara 600.000, pango la nyumba 100.000 kwa mwezi, nakula 200.000 kwa mwezi.
Hela ya umeme na maji 25000, nauli 30000 kwa mwezi, sina mpenzi.
Hivi kwa mnaolipwa huo mshahara mmeweza hata kununua kiwanja?
Hela ya umeme na maji 25000, nauli 30000 kwa mwezi, sina mpenzi.
Hivi kwa mnaolipwa huo mshahara mmeweza hata kununua kiwanja?