nimechafukwa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 290
- 237
- Thread starter
- #101
Nlijikuta nmekua machinga. .na mbaya zaidi bidhaa zao ni gali sana...kuwashawishi watu ni ngumu. ..dawa ya meno 11.000 wakati kwa mangi 1500 ujazo huo huo....body spray 9000 wakati kkoo 4000 zipo nzuri tuu...kama unategemea ikutoe unajidanganya wakubwa ndo wanafaidika tuUlikuwaje au uliingia kichwa kichwa ukataja ulipwe bila kufanya Kazi Ndugu????