Kwa mshahara huu kweli nitaweza kujenga nyumba?

Kwa mshahara huu kweli nitaweza kujenga nyumba?

Na miaka kumi na moja kazini nilikua na save laki nne lakini pia naelekeza pesa zingine kwenye kilimo nina mashamba ekari nane niliyopewa na baba yangu kama urithi na naishi arusha ni mzaliwa wa Arusha na mimi ni mmasai ndugu yangu

Kwahiyo sio hiyo laki saba pekee iliyojenga, ni hiyo laki saba jumlisha na mavuno kutoka kwenye hizo heka nane. Jaribu kunyumbua mavuno yako katika hizo heka nane kwa mwaka halafu ndio utajua pato lako la jumla la mwezi ni kiasi.
 
Kitu nilichojifunza Tanzania ni kwamba watu wengi wanaojenga ni wale wanaolipwa Mshahara kuanzia laki moja na nusu (150,000) hadi laki nne (400,000). Na wengi wanaolipwa kuanzia laki tano (500,000) huwa wanapenda kwenda kupanga Sinza, Tabata, Mbezi beach, Msasani, Mapipa n.k. Pia nimegundua Tanzania kujenga ni rahisi ajabu, lakini shida ni kumiliki kiwanja.
 
Na miaka kumi na moja kazini nilikua na save laki nne lakini pia naelekeza pesa zingine kwenye kilimo nina mashamba ekari nane niliyopewa na baba yangu kama urithi na naishi arusha ni mzaliwa wa Arusha na mimi ni mmasai ndugu yangu

Ungesema hivi tangu mwanzo walau tungekuelewa
 
Kaka huo mshahara ni mkubwa sana maisha ni mipango mimi nalipwa laki saba na kwa sasa nina nyumba ya room nne sebule iliogawanyishwa sehemu ya sitting room na dining vyoo viwili cha kwenye master na kimoja cha public na gari aina ya Toyota raum na nyumba nimepiga ukuta bado sijamalizia tu electricity fence ya mizunguko saba ya waya jipange fresh utaweza kaka

Mmmh.....aisee.! Okay.
 
Tengeneza business plan nzuri ikuingizie kipato. Kwa mshahara huo,sidhani kama utajenga nyumba iliyopo kwenye kiwango...
 
Sasa mimi ukiniuliza kuhusu michango mashuleni sijui nikujibu nini maana mimi nilichukua bachelor ya wildlife na ndio naendelea na master yake ndugu yangu msshuleni michango sijui ni ya nani

Acha kupotosha umma!
Bachelor ya wildlife umechukulia wapi? Mwaka gani?
 
Na miaka kumi na moja kazini nilikua na save laki nne lakini pia naelekeza pesa zingine kwenye kilimo nina mashamba ekari nane niliyopewa na baba yangu kama urithi na naishi arusha ni mzaliwa wa Arusha na mimi ni mmasai ndugu yangu

Kumbe wewe ni maasai.Ngoja nimuite dada yako msalimiane.Ndito masai dada njoo msalimiane kaka yako huyu.
 
Last edited by a moderator:
Nina ndugu yangu yeye anafanya kazi masaki,amepanga g.mboto,amenunua pikipiki ili awahi kufika kazini,wakati angeweza kupanga msasani akaenda kazini kwa miguu na pesa aliyonunulia pikipiki anunue kiwanja....ni mipango tu kwanini mtu uwe na simu tatu jamani
 
Kitu nilichojifunza Tanzania ni kwamba watu wengi wanaojenga ni wale wanaolipwa Mshahara kuanzia laki moja na nusu (150,000) hadi laki nne (400,000). Na wengi wanaolipwa kuanzia laki tano (500,000) huwa wanapenda kwenda kupanga Sinza, Tabata, Mbezi beach, Msasani, Mapipa n.k. Pia nimegundua Tanzania kujenga ni rahisi ajabu, lakini shida ni kumiliki kiwanja.

Kula like MKUU
 
Last edited by a moderator:
Nina ndugu yangu yeye anafanya kazi masaki,amepanga g.mboto,amenunua pikipiki ili awahi kufika kazini,wakati angeweza kupanga msasani akaenda kazini kwa miguu na pesa aliyonunulia pikipiki anunue kiwanja....ni mipango tu kwanini mtu uwe na simu tatu jamani

Kupanga msasani inaweza isiwe suluhisho umelinganisha kodi ya gmboto na ya msasani lakini... Ndugu yako alitakiwa apange hapohapo gmboto ila asingenunua pikipiki maana kununua pikipiki ambayo haiingizi hela haifanyi biashara ni kujiongezea gharama zaidi
 
Kupanga msasani inaweza isiwe suluhisho umelinganisha kodi ya gmboto na ya msasani lakini... Ndugu yako alitakiwa apange hapohapo gmboto ila asingenunua pikipiki maana kununua pikipiki ambayo haiingizi hela haifanyi biashara ni kujiongezea gharama zaidi

Nadhani ukiskia msasani unawaza sehemu za watu wa juu tu,msasani kuna uswahilini mkuu tembelea maandazi road
 
Nadhani ukiskia msasani unawaza sehemu za watu wa juu tu,msasani kuna uswahilini mkuu tembelea maandazi road

Ok mkuu, basi sikufahama hilo kama hata msasani inawezekana kupata chumba cha elfu 30 ni kutokujua tu asante kwa kunijuza
 
Labda iwe india rupee 600,000 RS ila kama madafu utaishia kuwa na madeni tu kibongo bongo atlst ulipwe net 2m unaweza uka move vizuri.
 
Ok mkuu, basi sikufahama hilo kama hata msasani inawezekana kupata chumba cha elfu 30 ni kutokujua tu asante kwa kunijuza

Ndio mkuu msasani ni sehem yenye option...kuna maeneo ya mafisadi kama lowasa na kuna sehemu za kati na pia kuna maeneo yaliochoka kuliko tandale na manzese
 
Back
Top Bottom