Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
- Thread starter
- #41
Si kweli. Si Mikoa yote Tanzania ina Uwanja maalumu wa kusherehekea maonyesho ya sabasaba kama yanayoendelea sasahivi huko dsm. Ushauri huo unawafaha watu wa dsm na mwanza.
Aidha kwenda sabsaba kutafuta mchumba ni kupoteza muda kama kutafuta mchumba kwenye mitandao.
Suala la mchumba ni suala nyeti sana ni vizuri kumshirikisha Mungu, Mchumba anaweza patikana sehemu yeyote na mara nyingine bila hata kupanga.
Mimi binafsi kamwe sijawahi na wala sitegemei kutoka kwenda sehemu eti kutafuta mchumba. Manake nasikia kuna watu wengine wanakwenda makanisani sio kusali, bali kutafuta wachumba
mikoa ambayo ina uwanja maalumu wa kusherekea saba saba si dar na mwanza. ipo mingi tu.