Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
Siku ya sabasaba ni siku inayokutanisha watu toka sehemu tofauti badala ya kuangaika kutafuta mchumba kwenye mitandao na kupoteza muda wako.
Nashauri uende sabasaba unaweza pata mke/mme ukaoa/kuolewa. Mikoa yote ina uwanja maalumu wa kusherekea uko utakutana na watu wenye vigezo unavyotaka.
Kuna rafiki yangu aliwahi pata mchumba huko.
Changamkieni fursa.
Nashauri uende sabasaba unaweza pata mke/mme ukaoa/kuolewa. Mikoa yote ina uwanja maalumu wa kusherekea uko utakutana na watu wenye vigezo unavyotaka.
Kuna rafiki yangu aliwahi pata mchumba huko.
Changamkieni fursa.