Kwa MMU member tu.

Kwa MMU member tu.

Safi sana ndugu....

Wahi kule kwenye mdahalo wa Babu ODM ukatoe msimomo wako...Anataka kujua kama wewe ni mwanamume au mtu wa kiume au mvulana!!
 
Napita tu bandugu, wa kaunta tutakutana huko huko.

Jioni njemeni
 
Ha ha ha, jamani usinishtaki, ujue mie niko bize nalea sasa ivi. Utaniharibia kabisa mahesabu

hehehe! Dah, utani wako unafanana na ukweli ujue. Halafu ukweli unauma. Ngoja nimuombe ban paw.
 
Ha ha ha, jamani usinishtaki, ujue mie niko bize nalea sasa ivi. Utaniharibia kabisa mahesabu

unamlea mtoto mkubwa eeh (najua ushaelewa hapa). Najishtaki mwenyewe nipgwe ban nipumzike. Lol.
 
Back
Top Bottom