Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
Wadau wa JF,
Mada hapo imeeleweka bila shaka. Nataka nijitose katika biashara ya mbao baada ya kuhisi itanilipa kwa maoni yangu. Nataka ninunue kutoka mikoa ya Njombe na Iringa na kuzisafirisha kuuza mkoani Dodoma ambapo kuna fursa kubwa ya ujenzi hivi sasa.
Ni mgeni katika biashara hii na hata mikoa tajwa ila maisha ndiyo haya haya. Sijui chochote juu ya biashara hii, sina gari la kusafirisha mbao hivyo nitakodi malori. Pia sijajua ikiwa unaandaa hela ununue magogo au mbao zilizotayarishwa na kusafirisha? Nikununua mashine za kuchana magogo mwenyewe na kuzisafirisha baada ya hapo? Njia ipi inalipa? Siamini katika ushirikina biasharani.
Naombeni maoni, ushauri na tahadhari.
Asanteni sana.
Mada hapo imeeleweka bila shaka. Nataka nijitose katika biashara ya mbao baada ya kuhisi itanilipa kwa maoni yangu. Nataka ninunue kutoka mikoa ya Njombe na Iringa na kuzisafirisha kuuza mkoani Dodoma ambapo kuna fursa kubwa ya ujenzi hivi sasa.
Ni mgeni katika biashara hii na hata mikoa tajwa ila maisha ndiyo haya haya. Sijui chochote juu ya biashara hii, sina gari la kusafirisha mbao hivyo nitakodi malori. Pia sijajua ikiwa unaandaa hela ununue magogo au mbao zilizotayarishwa na kusafirisha? Nikununua mashine za kuchana magogo mwenyewe na kuzisafirisha baada ya hapo? Njia ipi inalipa? Siamini katika ushirikina biasharani.
Naombeni maoni, ushauri na tahadhari.
Asanteni sana.