The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Naomba kujua kwa mliowahi kukaa ulaya huko, je ikifika wakati wa ubatizo, wazungu pia huchagua majina ya kubatizwa kwa watoto wao kama tunavyofanya huku Afrika?
Huku Afrika ni kawaida kukuta mtu ana majina mawili, moja la nyumbani lingine la ubatizo na la ubatizo lazima liwe la kizungu ama kiarabu. Huwezi kukuta mtu anaitwa maduhu halafu akachagu jina la kubatizwa la Kimaro ama Masawe.
Sasa naomba kufahamu kwa wale ambao mmeishi huko mkajua tamaduni zao, je na wao watoto wao huchagua majina ya jamii nyingine kubatizwa?
Huku Afrika ni kawaida kukuta mtu ana majina mawili, moja la nyumbani lingine la ubatizo na la ubatizo lazima liwe la kizungu ama kiarabu. Huwezi kukuta mtu anaitwa maduhu halafu akachagu jina la kubatizwa la Kimaro ama Masawe.
Sasa naomba kufahamu kwa wale ambao mmeishi huko mkajua tamaduni zao, je na wao watoto wao huchagua majina ya jamii nyingine kubatizwa?