Kwa miaka 47 kati ya 50 ya muungano, Zanzibar haijachangia fedha

Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar ilichangia gharama za kuendesha serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa miaka mitatu tu tangu 1965 - 1967 kwa asilimia kati ya 5 - 11.

Kwa mantiki hiyo Zanzibar inabebwa na Muungano! Hivyo gharama za mambo ya nje, jeshi, polisi, usalama wa taifa nk zinabebwa na Watanganyika.

Hivyo vyombo vyote hivyo ni mali ya Watanganyika! Zanzibar hawana chao!

Kwa muktadha huo endapo tutaunda serikali tatu, ni serikali ya Tanganyika itakayoumia. Au kwa maneno mengine ni Kodi za Watanganyika zitakazotumika.

Endapo muungano utavunjika rasilimali zote za jeshi, polisi, usalama wa taifa nk itabidi zirudishwe Tanganyika. Zanzibar itabaki bila jeshi, polisi wala usalama wa taifa nk. Usalama wa taifa la Zanzibar utakuwa mashakani.

Ni vema Wazanzibari wakaanza kujitafakari hivi sasa! Kuna hatari kubwa ipo mbele yao!

Zanzibar tafakari kabla hamjaamua! Heri kinga kuliko tiba!

Km umetumwa udanganye umma hapa utawapata wasiojua km wewe,sisi tulokuwepo ktk system tunaujua ukweli tena uliyoyasema ni unafiki,zanzibar inachangangi na haifaidiki chochote,mwisho mwezi julai mwaka jana zanzibar ilichangia kiasi cha asilimia iliyotakiwa kuchangia,na ukae ukijua kuwa uanzishwaji wa BOT zanzibar iliwekeza pesa nyingi zaidi kuliko sisi watanganyika,msitake kuwafanya wazanzibar hawawezi kujiendesha kiuchumi nyinyi mlowepo nje hamuwezi kuyajua ya ndani mnapiga kelele na kudanganywa tu,wa bara hatutaki kuwa wawazi kuwa wazanzibar ktk kuanzisha BOT WANA HISA KUBWA KULIKO BARA,nakushangaa mtoa mada kwa unafiki wako nadhani wewe ndio kwanza unaijua tanzania baada ya kuja dar es salaam.
 
Km umetumwa udanganye umma hapa utawapata wasiojua km wewe,sisi tulokuwepo ktk system tunaujua ukweli tena uliyoyasema ni unafiki,zanzibar inachangangi na haifaidiki chochote,mwisho mwezi julai mwaka jana zanzibar ilichangia kiasi cha asilimia iliyotakiwa kuchangia,na ukae ukijua kuwa uanzishwaji wa BOT zanzibar iliwekeza pesa nyingi zaidi kuliko sisi watanganyika,msitake kuwafanya wazanzibar hawawezi kujiendesha kiuchumi nyinyi mlowepo nje hamuwezi kuyajua ya ndani mnapiga kelele na kudanganywa tu,wa bara hatutaki kuwa wawazi kuwa wazanzibar ktk kuanzisha BOT WANA HISA KUBWA KULIKO BARA,nakushangaa mtoa mada kwa unafiki wako nadhani wewe ndio kwanza unaijua tanzania baada ya kuja dar es salaam.

Wee kilaza acha kubwabwaja! Wewe hapo uwe katika system?!

Toa data!
 
Kwan fedha inatumia Zanzibar ni IPI??? Unataka ilipwe nn wakati sarafu waliochangia kuiunda na wao ndo wanayotumi.

Hiv unajua kazi za benki kuu ni zipi..?? Kama unazifahamu ebu nitajie ni kazi gani kati ya kazi za bank kuu ambazo Zanzibar wanazifanya mpaka waitaji kulipwa.???

kama jambo hulijui busara ni kukaa kimya.
ww unajua banki kuu ni kutengeneza pesa tu eeeeeeeeeh
 
Hoja hapa ni kuwa endapo zitaundwa serikali tatu, uwezekano wa muungano kuvunjika ni mkubwa na hasa kwa kukosa fedha za kuiendesha! Kwa sasa Zanzibar ina nafuu kubwa kwa kuwa haigharimii cho chote kuhusu usalama wake!

Hivyo Zanzibar inapaswa kuanza kujiandaa kubeba gharama hizo! Vinginevyo itakabiliwa na hatari za kiusalama!

Ikumbukwe Watanganyika hawako tayari kuendelea kugharimia usalama wa Zanzibar! Kwa kifupi Tanganyika ndiyo itakayovunja muungano kwa kutokuendelea kuchangia serikali ya muungano!
Hasa, kwahiyo si suala la kuongezeka kwa gharama bali ni suala la gharama zinagharamiwa na nani! Kama ni hivyo inashindikana nini muungano kuvunjika hata ndani ya Serikali mbili, au ni kwa vile mgharamiaji ana kuwa 'amemtawala' mwenzake kama wnavyodai upande mmoja wa muungano!
 
Sehemu kubwa ya bajeti ya Tanzania inatoka kwa wahisani ambao huisaidia TANZANIA sio Tanganyika. ..

Mnavyokaa kuwamwagia TINDIKALI hao wafadhili nakujitia kwenu ni MACCA ndogo mnategemea baadfa ya kujitenga ufadhili utakuwepo? utaishia huku huku kwetu sisi machogooo, Hatuna shida vooo kila kitu RUKSA
 
Ileje, usibabaishe hoja. Unatisha wazanzibari kwa pipi?. Hhahahahha tuko mamcho pengine wenzako CCM ndio walio lala. Sisi wazanzibari tumewambia zamzani watanganyika wadai nchi yao maana CCM ni wakorofi. Kama kuna chochote waulizeni CCM zanzibar wao ndio wenye matumbo makubwa.
 
Last edited by a moderator:
Vizuri sana! EAC ilipovunjika mwaka 1977 kila nchi ilichukua kilichokuwa nchini kwake! Ilikuwa ghafla na shughuli zote zilisimama kwa siku kadhaa hapa nchini hadi utatatibu wa uendeshaji was rasilimali zilizokuwepo nchini ulipowekwa!

Nakumbuka karibu Tanzania na Kenya tuingie vitani! Wakati huo tulikuwa tunawaita Wakenya Manyang'au.

Mwaka 1984 ndipo Dr. Umbrich alipokamilisha usuluhishi wake na assets zikaanza kugawanywa upya!

kwa vile umekubali, je bado mimi div V, O au voda fasta?
 
Serikali ya Zanzibar ilichangia kuunda sarafu ya Tanzania na kuunda benki kuu ya Tanzania.

Jee, imeshalipwa nini katika hayo? Maawe!

ilipwe vipi wakati na yenyewe ni sehemu ya Tanzania. kwani hiyo sarafu ya Tanzania huko zanzibar haitumiki? zanzibar ni sehemu ya tanzania, huo ni wajibu.
 
1. Kweli kabisa wala hujakosea.

2. Kunakosa la kihistoria hapo, Zanzibar ilikuwepo kabla ya 14-15, na hii tuiitayo Tanganyika na zaidi ya hapo, ikijulikana kama zinjibar.

Labda enzi hizo, Ukristo haujategemea Tanganyika kuingia Zanzibar, lakini kwa zama za leo, Ukristo hauwezi kuingia Zanzibar kwa kasi unayoingilia sasa kwa msaada wa bara.

una tatizo lolote kwa wakristo kueneza dini yao zanzibar? whether wanatokea bara, ulaya ....?
 
tukiwa na serikali moja, nchi moja, hii maneno maneno yote kwishnei. kama wote tunakubaliana ni ndugu, kwa nini tuendekeze mambo ya kugawana gawana?
 
acha hizo, ukweli ni kuwa yalifanyika majadiliano ya kugawana, haikuwa hivyo eti kilicho nchini kwako ndio chako just like that. upande wa kenya walikuwa na mchango mkubwa, lazima wabaki na kiasi kikubwa, hivyo hivyo kwa tz na uganda, it was proportional, except kwa zile assets zisizohamishika kama reli n.k

Voda Fasta wee! Kama hujui uliza siyo kuweka pumba zako hapa!

Ukiambiwa wewe ni Div. V au 0 unaona umetukanwa!

JF tunakwenda kwa hoja. Haya sasa wewe msomi tafsiri hiyo habari hapo chini, halafu unifafanulie mimi Div 0!

The Permanent Tripartite Commission for East African Co-operation was first formed in 1967 as the East African Community. It collapsed in 1977 due to political differences.Following the dissolution of the organisation, former Member States negotiated a Mediation Agreement for the Division of Assets and Liabilities, which they signed in 1984. However, as one of the provisions of the Mediation Agreement, the three States agreed to explore areas of future co-operation and to make concrete arrangements for
such co-operation.

source: East African Community (EAC)

Vizuri sana! EAC ilipovunjika mwaka 1977 kila nchi ilichukua kilichokuwa nchini kwake! Ilikuwa ghafla na shughuli zote zilisimama kwa siku kadhaa hapa nchini hadi utatatibu wa uendeshaji was rasilimali zilizokuwepo nchini ulipowekwa!

Nakumbuka karibu Tanzania na Kenya tuingie vitani! Wakati huo tulikuwa tunawaita Wakenya Manyang'au.

Mwaka 1984 ndipo Dr. Umbrich alipokamilisha usuluhishi wake na assets zikaanza kugawanywa upya!

kwa vile umekubali, je bado mimi div V, O au voda fasta?
Kwa kufuata mtiririko huo hapo juu utaona namna ulivyotaka kupotosha watu!

Mwaka 1977 Kenya ilipoamua kuvunja EAC walitaifisha kila kitu kilichokuwepo nchini kwao ndani ya siku hiyo hiyo moja bila hata kuzitaarifu Tanzania na Uganda! Baada ya kuona hivyo Tanzania na Uganda zilipeleka malalamiko yao katika jumuiya ya kimataifa na ndipo Dr. Umbrich alipoteuliwa kusuluhisha.

Suluhu ilipatikana mwaka 1984, takribani miaka 7 baada ya mgogoro huo kuanza! Kila nchi ikagawiwa kilicho chake kulingana na hisa ilizochangia! Hivyo kwa wewe kusema kunakuwa na majadiliano ya kugawana, si kweli!

Kwa wewe kufanya utafiti huo mdogo nafuta Div. 0 na kukupa Div. III na pia nafuta kabisa voda fasta!
 
balozi zenu nje wamajaaaa wazanzibar???????? kwa hiyo wazanzibar hawana haki ya kua mabalozi??????? balozi ni za Tanzania c zenu:A S 465:
 
1.Kwa kipindi cha miaka 50 hatujapigana na mtu si comorrow wala Kenya sasa hilo jeshi la nini kwetu?
2.Kule kwetu kuna JKU, Valantia,KMKM , Zimamoto na Janjawidi (Kikosi cha CCM) wanaofanya kazi za kipolisi, sasa tulipie nini?
3.Sisi hatuna mahusiano na nchi za nje (tulipojiunga na OIC mkatulazimisha tujitowe) sasa hayo mambo ya nje tunalipia nini?
4.Bunge linatunga sheria za Tanganyika, sisi tuna Baraza letu la kutunga sheria, sasa tunalipia nini?
5.Uhamiaji pasipoti tunanunua kwa pesa zetu sasa tulipe nini?

Wafanyakazi, mapolisi na majeshi (wanakufa kukulindeni nyie na kukupeni sifa) wanakutumikieni nynyi na serikali yenu, mnataka walipwe na nani? Hata wabunge wa Zanzibar wanakusaidieni kutunga sheria zenu kama maexpert na mawaziri waliotoka Zanzibar nao ni experts katika kujenga nchi yenu Tanganyika

Hii kwangu ni quote of the week. Ni sababu tosha ya kuendelea kutetea serikali mbili, na tena Zanzibar wasibughudhiwe kudaiwa kulipa gharama za muungano, kwakuwa kimsingi wanazilipia tayari kwa kutumia manpower na expertise yao. Serikali mbili daima. CCM oyeeeee.
 
balozi zenu nje wamajaaaa wazanzibar???????? kwa hiyo wazanzibar hawana haki ya kua mabalozi??????? balozi ni za Tanzania c zenu:A S 465:

Umeambiwa wazanzibari huko kwenye balozi ni experts, Tanganyika imewaajiri kama consultants kwa kuwa Tanganyika inahitaji huduma zao na haina watanganyika wenye sifa hizo, kwahiyo ikatafuta exoerts kutoka nchi nyingine. Na hilo linapaswa litambuliwe kuwa ni mchango wa Zanzibar kwenye muungano, kwahiyo wasidaiwe mchango mwingine zaidi ya huo.
 
Umeambiwa wazanzibari huko kwenye balozi ni experts, Tanganyika imewaajiri kama consultants kwa kuwa Tanganyika inahitaji huduma zao na haina watanganyika wenye sifa hizo, kwahiyo ikatafuta exoerts kutoka nchi nyingine. Na hilo linapaswa litambuliwe kuwa ni mchango wa Zanzibar kwenye muungano, kwahiyo wasidaiwe mchango mwingine zaidi ya huo.
Mh!! Hii kali kweli kweli!
 
Wanabodi!!!


  1. Unawachukua wabunge 80 toka Visiwani (kwa miaka50!) wanakaa Dodoma wanajadili Barabara za Geita na Katavi. Unawalipa msharahakila mwezi na posho kwa kodi toka Tanganyika!
  2. Unammchukua Makamu wa Raisi, Mawaziri, Mabalozi na 20% ya wafanyakzi wa Wizara za Muungano toka visiwani.. kisha unawalipa mishahara na posho (kwa miaka 50!) kwa kodi za Watanganyika!
  3. Tunajuinga na Afrika Mashariki. Bara wanalipia pesa ya kodi gharama za Afrika Mashariki.. Wabunge ni 9 kama walivyo wabunge toka Rwanda (9), Kenya (9). Then!!!!! Tanyanyika inatoa Wabunge (6) Na Visiwan iwabunge (3). Then Bara kwa kodi zao unawalipia wabunge wa Visiwani katika Bungela Afrika Mashariki!!!
  4. Unawateua wabunge toka Visiwani kamati za Bunge Muungano kukagua barabara kule Ngara na Tandahimba unawalipa pesa ya kodi ya Tanganyika kwa miaka 50!
  5. Halafu unakaa unajivuna Muungano huu ni waKuigwa Bara la Afrika na Dunia yote na unajipiga2 kifua kuwa na fikra sahii za waasisi wa Taifa hili!
  6. Miaka 50! Wewe unakuwa rafiki au mshirika wangu!Siku zote tukionana mimi nakununulia tu soda au bia wewe.. wewe hata siku mojahaununui… na unaona ni poa tu! Kwa mika 50!
  7. Halafu watoto wetu wa shule kule Handeni naKondoa wanakaa Chini hawana madawati na tunalalamika na kuona ni sawa!

SAA INGINE NAONA KAMA TANGANYIKA AU TANZANIA BARA TUMEROGWA AND WE ACTUALLY DO NOT KNOW OUR PRIORITIES!
WATOTO NA WAJUKUU ZETU WATAULIZA SIKU MOJA NA HATUTAKUWA NAMAJIBU!

WATANGAYIKA TUAMKE TUACHE UNAFIKI HUU!
 
Wanabodi!!!


  1. Unawachukua wabunge 80 toka Visiwani (kwa miaka50!) wanakaa Dodoma wanajadili Barabara za Geita na Katavi. Unawalipa msharahakila mwezi na posho kwa kodi toka Tanganyika!
  2. Unammchukua Makamu wa Raisi, Mawaziri, Mabalozi na 20% ya wafanyakzi wa Wizara za Muungano toka visiwani.. kisha unawalipa mishahara na posho (kwa miaka 50!) kwa kodi za Watanganyika!
  3. Tunajuinga na Afrika Mashariki. Bara wanalipia pesa ya kodi gharama za Afrika Mashariki.. Wabunge ni 9 kama walivyo wabunge toka Rwanda (9), Kenya (9). Then!!!!! Tanyanyika inatoa Wabunge (6) Na Visiwan iwabunge (3). Then Bara kwa kodi zao unawalipia wabunge wa Visiwani katika Bungela Afrika Mashariki!!!
  4. Unawateua wabunge toka Visiwani kamati za Bunge Muungano kukagua barabara kule Ngara na Tandahimba unawalipa pesa ya kodi ya Tanganyika kwa miaka 50!
  5. Halafu unakaa unajivuna Muungano huu ni waKuigwa Bara la Afrika na Dunia yote na unajipiga2 kifua kuwa na fikra sahii za waasisi wa Taifa hili!
  6. Miaka 50! Wewe unakuwa rafiki au mshirika wangu!Siku zote tukionana mimi nakununulia tu soda au bia wewe.. wewe hata siku mojahaununui… na unaona ni poa tu! Kwa mika 50!
  7. Halafu watoto wetu wa shule kule Handeni naKondoa wanakaa Chini hawana madawati na tunalalamika na kuona ni sawa!

SAA INGINE NAONA KAMA TANGANYIKA AU TANZANIA BARA TUMEROGWA AND WE ACTUALLY DO NOT KNOW OUR PRIORITIES!
WATOTO NA WAJUKUU ZETU WATAULIZA SIKU MOJA NA HATUTAKUWA NAMAJIBU!

WATANGAYIKA TUAMKE TUACHE UNAFIKI HUU!

Wajumbe wa bunge la katiba ambao ni wanachama wa jukwaa hili ni muhimu mkawasambazia ujumbe huu wenzenu wote bila kujali wa Tanganyika au Zanzibar
 
Wala hujakosea, na huku ndipo walipowakuta wajinga ndio waliwao.

..kweli kabisa.

..huku Tanganyika tunashambuliwa na maadui watatu, ujinga, maradhi,na umasikini, kiasi kwamba wananchi wa kawaida hawana muda wa kuuchunguza na kuuchambua muungano.

..siku wa-Tanganyika wakizinduka nchi hii inaweza kuingia ktk matatizo makubwa, kwasababu ni jambo la wazi kwamba muungano unachota toka kwa wa-Tanganyika na kupeleka kwa wa-Zanzibar, wakati ktk ujumla wao wa-Tanganyika ni masikini na wana taabu za maisha kuliko wa-Zanzibari.

cc jMali
 
Last edited by a moderator:
Jokakuu,Wazanzibari tuko rational na sober katika suala la muungano. Sisi hatuhitaji nusu kwa nusu bali tunachokihitaji ni mgawano wa haki,

Kwa taarifa zilizopo kwa mfano wizara ya mambo ya ndani waajiriwa wazanzibari kwenye wizara hiyo ni mapolisi na uhamiaji peke yake hakuna wafanyakazi wa wizara ambao sio askari. Wizara ya mambo ya nje kama ina waajiriwa 1000 basi Wazanzibari hawafiki 20 sasa usawa wa kugawana pato na masilahi unapatikana wapi hapo?
Ngekewa,

..suala hili ni kama kile kitendawili cha kuku na yai.

..je, Zanzibar inapaswa kupewa haki zake kabla ya kuchangia?

..au, Zanzibar inapaswa kuchangia kwanza ndipo ipate uhalali wa kudai haki?

..je, suala la ajira ktk vyombo vya muungano liende kwa mgao fulani kati ya wa-Tanganyika na wa-Zanzibari, au liamuliwe na sifa za waombaji?

..je, kama taasisi za muungano zitaajiri kwa kutumia mgao, Zanzibar inastahiki asilimia ngapi ya ajira hizo? zaidi, huo mgao unaamuliwa kwa kutumia vigezo gani?

NB:

..tunaelewa kwamba Jamhuri ya muungao ina madeni, ambayo inaendelea kuya-service. Je, Zanzibar kama mshirika ktk muungano, inachangia kiasi gani ktk kulipa madeni hayo?

cc Pasco, Nguruvi3, gombesugu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom