funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,534
- 31,198
Yapo matukio kadhaa duniani yanayohusu vita vya kiuchumi ambayo kama mtanzania mzalendo na msomi na mwenye kufuatilia vita baridi vya kiuchumi na kikanda unaaswa na kupaswa kuyafuatilia na kuyazingatia kwa kina bila mihemuko ya kiitikadi,kimazoea au kumezeshwa propaganda .
Nimeyetaja matukio haya makusudi ili vizazi na vizazi vya Tanzania viyajadili kwa uhuru na kwa kina.
FOR GREAT THINKERS ONLY!
Nimeyetaja matukio haya makusudi ili vizazi na vizazi vya Tanzania viyajadili kwa uhuru na kwa kina.
FOR GREAT THINKERS ONLY!