Hawa ghasia bifu lake na mkulu limemponza nape alienda omba msamaha sasa anakula mema ya nchiJimbo la mtwara vijijini ameshinda bi mdada wa cuf
Bunge lililopita walikua pungufu wakashindwa pitisha?Kwasasa ni dhahiri CCM imedhamiria kushinda majimbo yote ya uchaguzi Tanzania Bara uwe ushindi halali au haramu. Hii ina maana kuwa lolote atakalotaka rais Magufuli pamoja na serikali yake halitapata mkwamo wa namna yoyote ile bungeni.
Tujiandae kwa mabadiliko ya Katiba kumuwezeha Magufuli kutawala kwa awamu nyingi zaidi.
Bunge lililopita walikua pungufu wakashindwa pitisha?
Hiyo ni zuga tu.Jimbo la mtwara vijijini ameshinda bi mdada wa cuf
Ndio lengo la wizi huu wa kutisha ili lile jizi kuu zibaki mpaka lifie madarakani, ila huenda muumba akaingilia kati na ndivyo itakavyokuwaKwasasa ni dhahiri CCM imedhamiria kushinda majimbo yote ya uchaguzi Tanzania Bara uwe ushindi halali au haramu. Hii ina maana kuwa lolote atakalotaka rais Magufuli pamoja na serikali yake halitapata mkwamo wa namna yoyote ile bungeni.
Tujiandae kwa mabadiliko ya Katiba kumuwezeha Magufuli kutawala kwa awamu nyingi zaidi.
Wajomba zako wanajua lakini kuwa jiwe ni dingi yako?Mi nlitaka atawale tuu kiboko ya Wazungu kwa hili mi nimempenda Sana Dingi angu.
No shobo na Wazungu hakuna kwenda kwao wala Serikali yake hakuna kwenda.
Na huu ndo mfumo mzurii atawale tuu ili tuone Wazungu wanapumulia Wapii
Atawale tuu maana mpaka sasa Africa hakuna Rais mwenye IQ kama JPM.Kwasasa ni dhahiri CCM imedhamiria kushinda majimbo yote ya uchaguzi Tanzania Bara uwe ushindi halali au haramu. Hii ina maana kuwa lolote atakalotaka rais Magufuli pamoja na serikali yake halitapata mkwamo wa namna yoyote ile bungeni.
Tujiandae kwa mabadiliko ya Katiba kumuwezeha Magufuli kutawala kwa awamu nyingi zaidi.
Kwa msaada wa watu wa china hawa wetu hawawezi zima kama ata kuiba kura kwa kutumia akili hawaweziHii inawezekana. Kwa mara ya kwanza Tanzania tumezimiwa internet na kuwajoin wenzetu wa Nchi kama Ethiopia, Guinea, Sierra Leone na Sudan.
Yajayo yanaogopesha zaidi.
Mungu ana makusudi yake na tusubiri kuona yajayo baada ya ushindi wa zaidi ya asilimia 90Kwasasa ni dhahiri CCM imedhamiria kushinda majimbo yote ya uchaguzi Tanzania Bara uwe ushindi halali au haramu. Hii ina maana kuwa lolote atakalotaka rais Magufuli pamoja na serikali yake halitapata mkwamo wa namna yoyote ile bungeni.
Tujiandae kwa mabadiliko ya Katiba kumuwezeha Magufuli kutawala kwa awamu nyingi zaidi.
We mganga njaa tu huna loloteBunge lililopita walikua pungufu wakashindwa pitisha?
Tamaduni yangu Mzazi ni yeyotee yule ambae umri unarandana na babangu.Wajomba zako wanajua lakini kuwa jiwe ni dingi yako?
Kwasasa ni dhahiri CCM imedhamiria kushinda majimbo yote ya uchaguzi Tanzania Bara uwe ushindi halali au haramu. Hii ina maana kuwa lolote atakalotaka rais Magufuli pamoja na serikali yake halitapata mkwamo wa namna yoyote ile bungeni.
Tujiandae kwa mabadiliko ya Katiba kumuwezeha Magufuli kutawala kwa awamu nyingi zaidi.
naamKwasasa ni dhahiri CCM imedhamiria kushinda majimbo yote ya uchaguzi Tanzania Bara uwe ushindi halali au haramu. Hii ina maana kuwa lolote atakalotaka rais Magufuli pamoja na serikali yake halitapata mkwamo wa namna yoyote ile bungeni.
Tujiandae kwa mabadiliko ya Katiba kumuwezeha Magufuli kutawala kwa awamu nyingi zaidi.