Ok mkuu nitajaribu kubadili suspension,kuhusu arms na links nilibadili asante kwa ushauri ulionipaHabari za leo kaka,
Sio kawaida au rahisi stabilizer bar kukatika. Kazi yake hua kuzuia kunesa kwa upande mmoja kama pale ukipiga kona ukiwa kasi kidogo. Yaonekana suspension yako iko na tatizo hasa kw shox, arms za upande wa chini au zile links zilizowekwa hazifai.
Gari lako umeweka spacers kw shox?
Mimi ninagari aina ya passo yenye piston tatu .Hii gari inatatizo lakuwasha taa ya oil pindi nikisafili safari ndefu kwamfano kutoka wilayani adi mkoan .Na sana San nikiwa na mzigo au nikiwa nimepakiza watu .Nakumbuka niliipeleka garage wakaangalia baadhi ya matatizo pamoja na samplo na pia wakaisafisha oil pump lakin bado tatizo likawa ni lile lile .Nikashauliwa na mafundi ninunue oil pump mpya ya iyo passo lakin kwa bahat mbaya nilitafuta bila mafanikio lakin nikabahatika kununua oil pump used .Na walipo iweka ile used kidogo tatizo likapungua kwa safari za mtaani ikawa pow lakin kwa safari za mbali ikawa vile vile so mpaka Leo siwez safiri safar ndefu naishia wilayan tu na bado sijapata solution japo service nafanyia vizur tu
Mkuu sijaongeza chochote IPO kama ilivyokujaJe, umeongeza spacer/umeiinua?
Angalia kama unalaza kwenye sakafu au tilestairi likikaa wiki mbili linaisha kidogo, ila nikipeleka kwa wa pancha hawaioni
Mkuu nimesoma uzi wako, hakika una knowledge ya magari. Hongera pia kwa elimu hii.
Ningependa kujua, air filter inabadilishwa baada ya mda gani? Maana kila service inapofanyika huwa inapulizwa kutoa vumbi tu lakini sijawahi kuambiwa niibadilishe. Je, kama air filter ni mbovu, inasababisha ulaji wa mafuta uongezeke zaidi ya kawaida?
Asante kiongozi,Asante kaka.
Air filter ubadilishwa wakati wa service hasaa huku kwetu ambako vumbi ni tele. Yakaa fundi wako ana false-economy, gharama ya filter anayokwepa unailipa maradufu kw mafuta na pia kuchosha engine yako. Ni kweli ikiziba husababisha unywaji zaidi wa mafuta.
Inategemea, kama mazingira ni ya mashambani kw barabara za vimbi hapo basi ni vyema kuibadilisha kila service. Kama ni mjini hasaa wakati wa mvua au hakuna vumbi sana, waeza enda kama service tatu na ile ile lakini lazima uiangalie kama imekolea na kuipuliza mara kw mara sio wakati wa service tu.Asante kiongozi,
Kwa hiyo kila service ni lazima air filter ibadilishwe?
Nisaidie kutofautisha hiace engine ya 1TR na 2RZ na Ipi ni bora katika biashara ya hiace.
Asante kw swali kaka,Mkuu naelekea hatua za mwisho kujichanga natamani niagize crown athlete siku za usoni unaweza nipa abc kuhusu hiyo ndinga ili nifanye maamuzi yaliyosahihi
Hili litakua tatizo upande wa umeme hasa kw mfumo wa engine idle stabilization. Itakua vyema ukifanya tune-up ya uhakika na pia diagnosis ya engine, gearbox na mfumo wa umeme in general.IST hua nikiwa kwenye folen/nkipunguza mwendo sana mara nyngin inajizima na nikiwasha inawaka vzur naendelea na safar. Tatzo nn mtaalam wetu?