Youtube kuna jamaa mtaalama wa magari niliona anabadilisha 2wd kua 4wd,hio inawezekana mkuu kwa hapa bongo?Mkuu kama nimekuelewa basi hilo swala ni gumu sanaaa aachane nalo nigum sana garama zake ni bora akanunua gari yenye mfumo huo wa hybrid..
Lkn kama unamaanisha kubadili gari ya hybrid na kuwa ya kawaida basi inawezekana 100% mm binafsi nishafanya sana na juzi tuu nimefanya kwenye estima akitaka nitampa bajeti na vitu vyote vinavyotakiwa kikubwa cha kununua ni gearbox vingine kwenye engine ni vidogo dogo sana..na wiring unatumia ile ile ya hybrid mambo yanakuwa mswano
No hapana mkuu na sio kweli..hakuna mahusiano ya ABS na HAND BRAKE warning lamp pamoja na brake pad..kwagari za toyota zingekuwa gari za europe na america sawa.Toyota RAV4 ya 2002 iliisha brake pads, taa za ABS na Parking brake zikawaka. Baada ya kubadilisha pads hizo, taa hazijazima hata baada ya kutembea 2000km.
Wheel speed sensor seems like hazijawa disconnected.
Ndio mkuu inawezekana kabisaaa.Youtube kuna jamaa mtaalama wa magari niliona anabadilisha 2wd kua 4wd,hio inawezekana mkuu kwa hapa bongo?
Sawa mkuu,thnxs.Ndio mkuu inawezekana kabisaaa.
nafunga sana mkanda lakini ipo tu na si gari yangu tu ni takribani raum zote nilizofanyia uchunguziMkuu hii kitu niliipata katika raum yangu lakini niligundua ukiendesha pasipo kufunga mkanda hiyo Alama inaonekana. Jaribu kufunga mkanda then tupe mrejesho hapa jukwaani
Mkuu hebu nisaidie haya mataa yananiwakia kila nikitembea km 10-15.
Aina ya gari ni toyota rav 4 2006.
Nilifanya diagnosis
Check engine ni air filter sensor.
VSC sijui
4WD sijui but niliwahi toa propeller baada ya kujinyonga na nikairudishia baada ya kurudisha ndio mambo yote hayo yakaja...
Airbag imekuja tu from no where..
View attachment 905616
Hiyo taa ni Caution/Onyo kua kuna tatizo. Diagnosis itabaini zaidi.Mkuu, asante sana kwa ushauri unaotoa hapa jukwaani
Swali langu ni je una maelezo yoyote kuhusu taa ya pembe tatu na alama ya mshanga ndani mwake inayowaka katika gari za toyota raum??! maana mwanzo nilidhani ni yangu tu ila nimefatilia kila raum inawaka hiyo taa hata kama imetoka japan jana, je technical problem toka kiwandani ama ni nini hasa!!!! Gari haisumbui
Pili, ni ATF ipi nzuri inayofaa kutumika kwenye raum??
Kuna mambo kadhaa yanayotatuliwa na tune-up kama kukagua sensors na mitambo mingine. Ni bora likaguliwe vizuri na mtu anaye elewa.Mkuu usituchoke kwa maswali yetu. Ni mabo gani yanasababisha gari kukosa nguvu au niseme halichanganyi upesi kama ilivyokuwa mwanzo. Naona gari linapick 100kph kwa kazi sana tofauti na ilivyokuwa mwanzo.. ..
Gari hili nimewahi kubadili plug mara moja tu mwaka 2016 mpka sasa.
Kuna rafiki yangu ana Harrrier old model engine 2990cc anataka kuibadilisha na kuweka engine ya harrier hybreed 2400cc. Jee itabidi abadilishe na gearbox?
Je VSC inapowaka kuna shida???VSC ni Vehicle Stability Control na hutumia ABS kuimarisha gari barabarani isije ikateleza na kipoteza mwelekeo.
4WD ilitokea pale ulipong'oa propeller shaft. Itakua ni stored code.
Ya airbag pia yaweza kua stored code pia.
mkuu naomba ushauri kuhusu terios kid,nataka kutoka nayo dar mpaka bukoba,nini cha kuzingatia Sana ktk safari yangu,naelewa kina engine ndogo lkn je kinaweza kupaform vizuri?