Kwa matatizo ya gari

Mkuu kama nimekuelewa basi hilo swala ni gumu sanaaa aachane nalo nigum sana garama zake ni bora akanunua gari yenye mfumo huo wa hybrid..

Lkn kama unamaanisha kubadili gari ya hybrid na kuwa ya kawaida basi inawezekana 100% mm binafsi nishafanya sana na juzi tuu nimefanya kwenye estima akitaka nitampa bajeti na vitu vyote vinavyotakiwa kikubwa cha kununua ni gearbox vingine kwenye engine ni vidogo dogo sana..na wiring unatumia ile ile ya hybrid mambo yanakuwa mswano
Youtube kuna jamaa mtaalama wa magari niliona anabadilisha 2wd kua 4wd,hio inawezekana mkuu kwa hapa bongo?
 
Toyota RAV4 ya 2002 iliisha brake pads, taa za ABS na Parking brake zikawaka. Baada ya kubadilisha pads hizo, taa hazijazima hata baada ya kutembea 2000km.

Wheel speed sensor seems like hazijawa disconnected.
No hapana mkuu na sio kweli..hakuna mahusiano ya ABS na HAND BRAKE warning lamp pamoja na brake pad..kwagari za toyota zingekuwa gari za europe na america sawa.

Ww hapo lazima kuna sensor ya ABS itakuwa imekatika au wakati wakubadilisha brake pad basi mafundi wali disconect sensor za abs so first aid hapo gari ichomekwe mashine au kama unaweza mpata fundi akakupimia manually sio mbaya atakupimia na kuflush then uone kama itaondoka au laa
 
Mkuu hii kitu niliipata katika raum yangu lakini niligundua ukiendesha pasipo kufunga mkanda hiyo Alama inaonekana. Jaribu kufunga mkanda then tupe mrejesho hapa jukwaani
nafunga sana mkanda lakini ipo tu na si gari yangu tu ni takribani raum zote nilizofanyia uchunguzi
 
Mko salama wana JF? Natumai nyote hamjambo! Wanasema kuuliza sio ujinga, Styvo254 napenda kuuliza kitu kimoja chief! Kwenye automatic cars, kuna kitu kinaitwa OD (OVERDRIVING) hii OD inafaa kutumika wakati gani?, inafaida na hasara gani mkuu? Je , INA uwiano wowte na ulaji wa mafuta inapotumika?

Asante mkuu!
 
Mimi mkuu naomba unieleweshe jinsi ya uendeshaji au utumiaji wa gearbox hizi automatic hasa kwenye hizi herufi P..R..N..D..2..L naomba unifafanulie matumizi yake mkuu
 
VSC ni Vehicle Stability Control na hutumia ABS kuimarisha gari barabarani isije ikateleza na kipoteza mwelekeo.
4WD ilitokea pale ulipong'oa propeller shaft. Itakua ni stored code.
Ya airbag pia yaweza kua stored code pia.
Mkuu hebu nisaidie haya mataa yananiwakia kila nikitembea km 10-15.

Aina ya gari ni toyota rav 4 2006.

Nilifanya diagnosis
Check engine ni air filter sensor.
VSC sijui
4WD sijui but niliwahi toa propeller baada ya kujinyonga na nikairudishia baada ya kurudisha ndio mambo yote hayo yakaja...
Airbag imekuja tu from no where..

View attachment 905616
 
Mkuu, asante sana kwa ushauri unaotoa hapa jukwaani

Swali langu ni je una maelezo yoyote kuhusu taa ya pembe tatu na alama ya mshanga ndani mwake inayowaka katika gari za toyota raum??! maana mwanzo nilidhani ni yangu tu ila nimefatilia kila raum inawaka hiyo taa hata kama imetoka japan jana, je technical problem toka kiwandani ama ni nini hasa!!!! Gari haisumbui

Pili, ni ATF ipi nzuri inayofaa kutumika kwenye raum??
Hiyo taa ni Caution/Onyo kua kuna tatizo. Diagnosis itabaini zaidi.
Tumia ATF ya Genuine Toyota ATF
 
Mkuu usituchoke kwa maswali yetu. Ni mabo gani yanasababisha gari kukosa nguvu au niseme halichanganyi upesi kama ilivyokuwa mwanzo. Naona gari linapick 100kph kwa kazi sana tofauti na ilivyokuwa mwanzo.. ..
Gari hili nimewahi kubadili plug mara moja tu mwaka 2016 mpka sasa.
Kuna mambo kadhaa yanayotatuliwa na tune-up kama kukagua sensors na mitambo mingine. Ni bora likaguliwe vizuri na mtu anaye elewa.
 
Ni vyema aiuze ile gari ya 2900 na anunue ya 2400. Kuna mambo mengi hasa ya umeme yanayokua specific kw engine/transmission na gari. Atakosana na mafundi bure na mwishoe aiuze hiyo gari kw hasaa. Kazi ya conversion sio rahisi; yahitaji makini, uvumilivu na pesa tele.
Kuna rafiki yangu ana Harrrier old model engine 2990cc anataka kuibadilisha na kuweka engine ya harrier hybreed 2400cc. Jee itabidi abadilishe na gearbox?
 
VSC ni Vehicle Stability Control na hutumia ABS kuimarisha gari barabarani isije ikateleza na kipoteza mwelekeo.
4WD ilitokea pale ulipong'oa propeller shaft. Itakua ni stored code.
Ya airbag pia yaweza kua stored code pia.
Je VSC inapowaka kuna shida???
Stored code naweza kuresolve vipi haya mambo?
 
mkuu naomba ushauri kuhusu terios kid,nataka kutoka nayo dar mpaka bukoba,nini cha kuzingatia Sana ktk safari yangu,naelewa kina engine ndogo lkn je kinaweza kupaform vizuri?
 
Itaweza safari kama ipo in good condition. Cha msingi ni kukumbuka engine (na pia gari lenyewe) ni ndogo kw hiyo usipatwe na tamaa ya kumpita mwenye Range au Benz.
mkuu naomba ushauri kuhusu terios kid,nataka kutoka nayo dar mpaka bukoba,nini cha kuzingatia Sana ktk safari yangu,naelewa kina engine ndogo lkn je kinaweza kupaform vizuri?
 
Mkuu kuna IST ukiendesha zaidi ya speed ya 80km/hr steering inakuwa kama inacheza na kuwa nyepesi then chini ya hand break (kwenye gearbox) inakuwa kama unaisikia inagongagonga. Msaada tafadhali inaweza kuwa na tatizo gani
 
Hbr mkuu Styvo254 ?
Gari yangu ni raum old model! Hivi punde imeanza shida zifuatazo! Mosi, ukiizima mpaka uje uibust kesho yake ! Nimebadilisha betri lakini tatizo bado lipo pale pale!
Pili, imemaliza hydrolic, naomba ushauri nitumie hydrolic gani mkuu?
Tatu, taa ya mafuta imezimika ghafla nimepeleka kwa mafundi lakini wameshindwa kuirejesha!
Naomba ushauri mkuu!
Asante
 
Mi naulizia tairi za za size gani zafaa kunyanyulia Toyota Raum new model ya 2005. Na nawezapata kwa shilingi ngapi.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom