Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,869
- 828,397
Tukijadili kwa kina na kwa mapana yake.. Pengine wahusika wanaweza kuamka usingini na kuelewa
LAKINI kabla ya yote Polepole aliwahi kutuasa tusikubali MARIDHIANO YOYOTE baada ya uchaguzi mkuu wa 29 October 2025
Sasa wachambuzi wenye weledi na ufahamu mpana wanaweza kuja hapa na kutuchambulia, kutufafanunulia na kutupa tafsiri halisi ya neno maridhiano
Nasema hivyo kwakuwa naona ni kama ni neno linalopotoshwa ama kutumika tu kisiasa bila nia ya dhati ama wahusika wa upande mmoja kutolitilia maanani na kujua tafsiri yake halisi
Zaidi ya hapo kuna mkanganyiko ambao tusipoutatua basi hakuna haja kabisa ya kulizungumzia hili neno kwakuwa linaweza kutumika kama njia ya kutuzoeza uongo
Je tunardhiana ama wanaridhiana na akina nani?
Je tafsiri halisi ya neno maridhiano ni ipi?
Je wana uhalali wowote wa kutaka maridhiano
Je tunawatambua kwa nyadhfa zao?
Nknk
Sioni umakini wowote kwenye hili bali lugha nyepesi za kisiasa zilizokosa uhalisia, ukweli na uhalali.. Kinywa haramu hakiwezi kutamka neno halali
Kinachoendelea kwasasa ni malingalinga ya kisiasa kwa ajili ya kusogeza muda na kutuzoeza uwongo na kuvuta muda watu wasahau
Tusikubali kuzoezwa uongo wahuni bado wana nguvu
LAKINI kabla ya yote Polepole aliwahi kutuasa tusikubali MARIDHIANO YOYOTE baada ya uchaguzi mkuu wa 29 October 2025
Sasa wachambuzi wenye weledi na ufahamu mpana wanaweza kuja hapa na kutuchambulia, kutufafanunulia na kutupa tafsiri halisi ya neno maridhiano
Nasema hivyo kwakuwa naona ni kama ni neno linalopotoshwa ama kutumika tu kisiasa bila nia ya dhati ama wahusika wa upande mmoja kutolitilia maanani na kujua tafsiri yake halisi
Zaidi ya hapo kuna mkanganyiko ambao tusipoutatua basi hakuna haja kabisa ya kulizungumzia hili neno kwakuwa linaweza kutumika kama njia ya kutuzoeza uongo
Je tunardhiana ama wanaridhiana na akina nani?
Je tafsiri halisi ya neno maridhiano ni ipi?
Je wana uhalali wowote wa kutaka maridhiano
Je tunawatambua kwa nyadhfa zao?
Nknk
Sioni umakini wowote kwenye hili bali lugha nyepesi za kisiasa zilizokosa uhalisia, ukweli na uhalali.. Kinywa haramu hakiwezi kutamka neno halali
Kinachoendelea kwasasa ni malingalinga ya kisiasa kwa ajili ya kusogeza muda na kutuzoeza uwongo na kuvuta muda watu wasahau
Tusikubali kuzoezwa uongo wahuni bado wana nguvu