kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,722
- 1,993
- Thread starter
- #21
Wew nitakukuta? Vip kutoka hapa samaki na hapo ni unauliza kias gani?RQG8+WCJ Rainbow Pub Dodoma, Njia Panda Area D, Dodoma
Tumia Google Maps itakufikisha
Wew nitakukuta? Vip kutoka hapa samaki na hapo ni unauliza kias gani?RQG8+WCJ Rainbow Pub Dodoma, Njia Panda Area D, Dodoma
Tumia Google Maps itakufikisha
Nauli bei gani? Boda au?Njoo bambalaga hapa chapu
Fooolish pita kushoto na uzi huUzi ufungwe
Tumia boltsWew nitakukuta? Vip kutoka hapa samaki na hapo ni unauliza kias gani?
Ndo kitu gani?Vumbi la kimbunga umeliona?
Nauli bei ganiTumia bolts
Utakutana nalo kesho mchana ...Ndo kitu gani?
Kwanini hapafai?Haha hapafahi uko we fanya kikao tu uondoke zako
🤣🤣🤣 Mbona unamharibia mgeni mtoko?Mkuu nakushaurii hii offer ipige chini.
Utakuja kunishkuru
Swadakta mkuu ni kweli ila machinga complex pamechangamka sana milembe nimeona
Mjengoni ikulu au.?Usisahau na kupitia mjengoni
Kwanza situmii kileviMkuu nakushaurii hii offer ipige chini.
Utakuja kunishkuru
Dah yaani Chako ni Chako ni kiwanja cha kumuelekeza mtu? Labda kama ni mshamba asieelewa sehemu nzuri.Panda juu pita keepleft.. Mkono wa kushoto utaona bango kubwa la Chako ni Chako.. Nenda pale kajipatie nyama aina zote.
Elewa neno nyama aina zote.
Mimi ni mgeni uku kaka shukuru wewe unapajua.Dah yaani Chako ni Chako ni kiwanja cha kumuelekeza mtu? Labda kama ni mshamba asieelewa sehemu nzuri.
January ngap?Nilipita hapo tar 24 December, tukapita lunch bar Moja inaitwa Prime kama sikosei. Walikua na chakula kizuri sana na mazingira tulivu pia.
Ntarudi Tena January inshallah.
Ndo ivyo aisee mtu nyomi Noma SanaSasa mkuu Machinga imechangamka si kwa sababu ni soko hilo [emoji16]
Nielekzea mkuuUtakutana nalo kesho mchana ...
Nenda Chako ni Chako kajipatie gono, kaswende na ule kuku wa juziMimi ni mgeni uku kaka shukuru wewe unapajua.