tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
- Thread starter
- #101
kumuona wapi tena daktari hatembei na mgonjwa kwenye makorido huko alishamuona na kutoa order ya maandalizi ya operation yafanyike.....hujaelewa nini sasa hapo.Daktari atampasua mgonjwa bila hata ya kumuona kabla? Kwani ilikuwa emergency?
Tusitetee uzembe.