Kwa Makamanda wote walioko Sikonge - Tabora!

JACADUOGO2.

JF-Expert Member
Dec 13, 2010
930
217
Ni kwamba tunaendelea na harakati na mikakati ya kukomboa kata mbili za Ipole na Kiloleli ndani ya jimbo/wilaya ya Sikonge - Tabora.
Haya yote ni kuelekea kwenye uchaguzi mdogo wa madiwani ndani ya kata 29 Tanzania bara tar 28.10.12, ambapo kwa Sikonge kuna kata hizo mbili (Ipole na Kiloleli).

Kwa hiyo tunaombeni michango yenu ya mawazo na kwa walioko ndani ya Sikonge na maeneo jirani njooni tujumuike pamoja katika ukombozi wa Sikonge na Tabora na hatimaye Tanzania kwa ujumla. Kwa kweli upepo unavuma vizuri kwa CHADEMA.
People's...............!!!!

Ni mimi Kamanda Jacaduogo kutoka Rorya - Mara hadi Sikonge - Tabora!
 
Kuna mtu alisema humu jukwaani CDM wanachuo gani cha propaganda???? yaani kila kamanda wa CDM kaiva haaaaaaaaaaaah. Kila la kheri makamanda, kikieleweka huko basi tena shangilia ushindi unakuja wimbo uliozoeleka kwa wanakada fulani itakuwa lia unashindi umepotea.
 
Makamanda karibuni sana wilaya ya Sikonge. Nipo hapa kijiji cha Mkolye, basi wakati mkirejea makwenu msisahau kupitia hapa kutuamsha amsha!
 
Mhh, kumbe wewe wa Mkolye? Hehehee......

Vipi lile JIWE la kuteleza hapo kijijini bado lipo au mmeliharibu?

Anyway, tusitoke nje ya topic. Mkolye, Mkolye, Salimia hapo Mashaka Matongo (Abiola) kama amesharudi kwao.
Makamanda karibuni sana wilaya ya Sikonge. Nipo hapa kijiji cha Mkolye, basi wakati mkirejea makwenu msisahau kupitia hapa kutuamsha amsha!
 
Hahahaa, Mpombwe mie sitoki bana. Ila huwa ninapita tu....

Inafurahisha makamanda wanaingiza timu huko kwetu Kiloleli na Ipole.

Ipole ni ajabu sijawahi kufika ila Kiloleli huko kwetu bana kwa aina moja au nyingine.

Jina la SIKONGE hapo kijijini ni maarufu sana, si unajua tena hata umeme upo kwenye Guest House ya Mshikaji Bonny.

Karibuni sana kwetu huku. Mkiweza basi pitieni na SIKONGE mjini na kufanya mkutano mmoja wa uamsho.

Ohh, Mkolye ipo karibu na Tutuo (Kwa rehani), Sikonge mjini (Mlogoro). Mpombwe ipo kidogo mbali.

attachment.php


Mpombwe..JPG
Msalimie mkuu Sikonge, hapo jirani na Mkolye, kijiji cha Mpombwe
 
mkuu jiwe kajiunge na makamanda kukomboa hizo kata,usisubiri hapo kijijini kwako kuja kuamshwa

Asante mkuu Malata tuko pamoja na tunaendelea kutoa hamasa hapa Mkolye. Ndiyo maana tunatamani Makamanda wafike kutoa hamasa zaidi. Hii ndiyo twanga kote kote!
 
Mhh, kumbe wewe wa Mkolye? Hehehee......

Vipi lile JIWE la kuteleza hapo kijijini bado lipo au mmeliharibu?

Anyway, tusitoke nje ya topic. Mkolye, Mkolye, Salimia hapo Mashaka Matongo (Abiola) kama amesharudi kwao.

Mkuu Sikonge karibu sana Mkolye. JIWE la kuteleza 'isyenentelo' bado lipo kwani ni Landmark muhimu sana hapa kijijini. Na kwa taarifa tu, hilo JIWE ndiyo maana halisi ya ID yangu "Jiwe". Karibuni wote tuteleze kwenye JIWE huku tukiendelea kutafakari harakati za ukombozi wa fikra kwa watanzania.
 
Msalimie mkuu Sikonge, hapo jirani na Mkolye, kijiji cha Mpombwe


Asante Mkuu Osaka. Japo Mpombwe si jirani na Mkolye, nitajitahidi kufikisha salamu na kuunganisha nguvu kwa ajili kwa ajili ya vita hii ya kuyeyusha fikra mgando kwa wakazi wa Sikonge. Karibuni Makamanda wote kwani huku Sikonge tunawahitaji sana.
 
Hahaaa, Isyenentelo, lohhh!!!!

Msalimie Dogo mmoja alikuwepo enzi fulani nilipokuja hapo kijijini. Anaitwa sijui Ludui au Rudui, teteteee :)

Pana wakati mshikaji alinitumia picha ya hilo jiwe, kama sikosei ndiyo lenyewe hili.

attachment.php


Mkolye.JPG
Mkuu Sikonge karibu sana Mkolye. JIWE la kuteleza 'isyenentelo' bado lipo kwani ni Landmark muhimu sana hapa kijijini. Na kwa taarifa tu, hilo JIWE ndiyo maana halisi ya ID yangu "Jiwe". Karibuni wote tuteleze kwenye JIWE huku tukiendelea kutafakari harakati za ukombozi wa fikra kwa watanzania.
 
Wee mtu wa Mkolye, sijui utakuwa nani? Ila panga pangua, wewe ni ndugu yangu.

Hicho ni kijiji kilichoanzishwa na Babu wa Babu yaani Sambali. Lohh, kwetu Mkolye jamani. I miss a lot.

Usijibu hapa ukasahau na kuweka jina lako, utaumbuka bure kijana JIWE. Mie nipo kwa jina halisi, wewe endelea kujificha.

Kama kweli upo Mkolye au Sikonge, basi salimia familia na nakutakieni mapambano mema ya kuwasha moto huko Ipole na Kiloleli.

Makamanda karibuni sana wilaya ya Sikonge. Nipo hapa kijiji cha Mkolye, basi wakati mkirejea makwenu msisahau kupitia hapa kutuamsha amsha!
 
Hahaahahahaaaaa tunakushuru mkuu kwa kutujuzi namna ambovyo Skonge ilivyo hakika tutashinda
 
Wee mtu wa Mkolye, sijui utakuwa nani? Ila panga pangua, wewe ni ndugu yangu.

Hicho ni kijiji kilichoanzishwa na Babu wa Babu yaani Sambali. Lohh, kwetu Mkolye jamani. I miss a lot.

Usijibu hapa ukasahau na kuweka jina lako, utaumbuka bure kijana JIWE. Mie nipo kwa jina halisi, wewe endelea kujificha.

Kama kweli upo Mkolye au Sikonge, basi salimia familia na nakutakieni mapambano mema ya kuwasha moto huko Ipole na Kiloleli.

Mkuu Sambali nashukuru sana. Sasa tunahitaji nguvu zaidi kwani hapa Mkolye akina Sambali mko wengi sana. Nadhani hata huko KILOLELI wapo pia. Hivyo hamasisha jamaa zako walioko KILOLELI kwani kura zao ni muhimu sana katika kuhakikisha ushindi. Makamanda karibuni sana Mkolye kama ni matunda (mantonga, ntalali, nsungu...) mtapata, mboga mboga (nsansa, kikenyu, kansolele...) zipo kwa wingi, na hata snacks (matolwa na makewe) zipo pia. Huku Mlolye na Sikonge kwa ujumla kama ilivyo ushindi ni muhimu basi shibe ni muhimu pia. Kazi na dawa! Karibuni sana makamanda wote - SIKONGE FOR CHANGE! Act now!!
 
Back
Top Bottom