Hivi kwanini Mabasi kutoka Dar kwenda Mpanda, Katavi yanazuiwa kuendelea na safari yakifika Sikonge, Tabora?

Ikoko

JF-Expert Member
Jul 15, 2022
2,101
3,034
Wadau tumetoka Dar na Bus la HAPPY NATION saa 12 asubuhi na tumefika hapa Sikonge, Tabora Bus limezuiwa kuendelea na safari eti mpaka saa 12 asubuhi, eti kwa sababu njiani kuna mapori makubwa.

Kwa maoni yangu hii si sawa kabisa, yaani pamoja na jitihada kubwa za serikali kukamilisha barabara hii na sasa ni lami kutoka Dar mpaka Mpanda, bado tunawapotezea muda watanzania kukaa hapa masaa 8 kisa hatuwezi kuimarisha usalama?

Hivi tutajikwamua vipi na umasikini ikiwa tunapoteza muda kiasi hiki? Halafu sehemu yenyewe hakuna hata stend yenye facilities za kuhudumia hata abiria wa Bus mbili. Kingine cha kushangaza kwenye maamuzi yetu ni kwamba hivi unawezaje kuacha bus ilale Tabora mjini kwenye huduma nyingi halafu uje kuzuia ma Bus Sikonge?

Kwa staili hii ya kupotezeana muda kiasi hiki uchumi wa kati tutausikia tuu kwa wenzetu. Nimesikitika sana kwa kweli.
 
Tuvumilie kwa sababu gani wakati mtu angefika Mpanda saa 6 usiku na kesho anaenda kazini au kwenye biashara zake?
Dereva wenu ndie Mzembe. Angefika hapo kabla ya saa 3 usiku mngetoboa sasa Hapo Sikonge madereva wanapenda kulala kwa maksudi maaana wameoa Warabu koko wapo kibao so dereva anachelewa maksudi kufika ili akahudumie nyumba ndogo yake.

Siku nyingine Ongea na afande kiume uone ka hamjaruhusiwa.
 
Dereva wenu ndie Mzembe. Angefika hapo kabla ya saa 3 usiku mngetoboa sasa Hapo Sikonge madereva wanapenda kulala kwa maksudi maaana wameoa Warabu koko wapo kibao so dereva anachelewa maksudi kufika ili akahudumie nyumba ndogo yake.
Siku nyingine Ongea na afande kiume uone ka hamjaruhusiwa.
Siku hizi hata uwahi kabla ya saa tatu lazma ulale... Zamani ndio ilikua ukifika kabla ya saa tatu unaendelea
 
Dereva wenu ndie Mzembe. Angefika hapo kabla ya saa 3 usiku mngetoboa sasa Hapo Sikonge madereva wanapenda kulala kwa maksudi maaana wameoa Warabu koko wapo kibao so dereva anachelewa maksudi kufika ili akahudumie nyumba ndogo yake.
Siku nyingine Ongea na afande kiume uone ka hamjaruhusiwa.
Kuna kaukweli hapa maana hawa madereva wala hawajali, pia imeingia Majinja nayo imezuiwa. Swali langu ni kwa Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani nchini hili jambo nyie hamlioni kwa jinsi abiria tunavyoteseka? Kwa nini bus zisilale Tabora mjini stend kuu ambako kuna lodges, vyakula na huduma mbalimbali badala ya kuruhusu tulale hapa Kijijini??
 
Wadau tumetoka Dar na Bus la HAPPY NATION saa 12 asubuhi na tumefika hapa Sikonge, Tabora Bus limezuiwa kuendelea na safari eti mpaka saa 12 asubuhi, eti kwa sababu njiani kuna mapori makubwa.

Kwa maoni yangu hii si sawa kabisa, yaani pamoja na jitihada kubwa za serikali kukamilisha barabara hii na sasa ni lami kutoka Dar mpaka Mpanda, bado tunawapotezea muda watanzania kukaa hapa masaa 8 kisa hatuwezi kuimarisha usalama?

Hivi tutajikwamua vipi na umasikini ikiwa tunapoteza muda kiasi hiki? Halafu sehemu yenyewe hakuna hata stend yenye facilities za kuhudumia hata abiria wa Bus mbili. Kingine cha kushangaza kwenye maamuzi yetu ni kwamba hivi unawezaje kuacha bus ilale Tabora mjini kwenye huduma nyingi halafu uje kuzuia ma Bus Sikonge?

Kwa staili hii ya kupotezeana muda kiasi hiki uchumi wa kati tutausikia tuu kwa wenzetu. Nimesikitika sana kwa kweli.
Shukuru sana kwa jambo hilo kuna mapori makubwa sana hiyo baranara nakumbuka tulitaka kutekwa na BUS la SABENA sijui kama lipo. Kuna wahuni sana wa Kirundi na Kinyarwanda hasa pori la Inyonga. Polisi hawa wazembe hawana uwezo wa kuwadhibiti hao wahuni na Wakorofi. Sehemu zote za maporini ukiona kuna Waarabu wanakaa hapo muda mrf tia akili. Tulia kupambazuke mbelembele ya Sikonge jiandae na Nzi pori Mbung'o.
 
Wadau tumetoka Dar na Bus la HAPPY NATION saa 12 asubuhi na tumefika hapa Sikonge, Tabora Bus limezuiwa kuendelea na safari eti mpaka saa 12 asubuhi, eti kwa sababu njiani kuna mapori makubwa.

Kwa maoni yangu hii si sawa kabisa, yaani pamoja na jitihada kubwa za serikali kukamilisha barabara hii na sasa ni lami kutoka Dar mpaka Mpanda, bado tunawapotezea muda watanzania kukaa hapa masaa 8 kisa hatuwezi kuimarisha usalama?

Hivi tutajikwamua vipi na umasikini ikiwa tunapoteza muda kiasi hiki? Halafu sehemu yenyewe hakuna hata stend yenye facilities za kuhudumia hata abiria wa Bus mbili. Kingine cha kushangaza kwenye maamuzi yetu ni kwamba hivi unawezaje kuacha bus ilale Tabora mjini kwenye huduma nyingi halafu uje kuzuia ma Bus Sikonge?

Kwa staili hii ya kupotezeana muda kiasi hiki uchumi wa kati tutausikia tuu kwa wenzetu. Nimesikitika sana kwa kweli.
Unahamu ya kubakwa siyo?
 
Siku hizi hata uwahi kabla ya saa tatu lazma ulale... Zamani ndio ilikua ukifika kabla ya saa tatu unaendelea
Swali langu ni kwa nini iwe hivyooo? LATRA mnalijua hili au mmekaa tuu huko ma ofisini?
 
Shukuru sana kwa jambo hilo kuna mapori makubwa sana hiyo baranara nakumbuka tulitaka kutekwa na BUS la SABENA sijui kama lipo. Kuna wahuni sana wa Kirundi na Kinyarwanda hasa pori la Inyonga. Polisi hawa wazembe hawana uwezo wa kuwadhibiti hao wahuni na Wakorofi. Sehemu zote za maporini ukiona kuna Waarabu wanakaa hapo muda mrf tia akili. Tulia kupambazuke mbelembele ya Sikonge jiandae na Nzi pori Mbung'o.
Kwa hiyo miaka 60 bado hatuwezi kusafiri usiku kweli? Yaani vibaka wanatupangia maisha kweli? Ina maana hatuwezi hata kutumia JW TZ watusaidie kudhibiti hawa vibaka??
 
Swali langu ni kwa nini iwe hivyooo? LATRA mnalijua hili au mmekaa tuu huko ma ofisini?
Kwanza kabisa mimi sio na sifanyi kazi LATRA.

Pili kwa experience yangu hayo mapori wanayoyasema ni kweli yapo lakini mbaya zaidi humo maporini hakuna network ya mtandao wowote inakamata na hakuna makazi so kwa usiku emergency ikitokea like gari imepata breakdown humo it's you on your own hakuna msaada mtapata labda itokee kuna gari nyingine ipite iwape msaada ila there is no way mtafanya mawasiliano hasa ya simu so possibly wanazuia kwa sababu hio maana pia kuna wanyama pori humo.
 
Poleni sana kweli sio haki kulala kijijini hapo
Kabisa mkuu hii siyo fair kabisa, yaani vibaka wanatupangia kwamba mwisho wa kusafiri ni saa 3 usiku? Baadae si wanaweza kutuambia mwisho wa kusafiri ni saa 10 jioni?
 
Kwanza kabisa mimi sio na sifanyi kazi LATRA.

Pili kwa experience yangu hayo mapori wanayoyasema ni kweli yapo lakini mbaya zaidi humo maporini hakuna network ya mtandao wowote inakamata na hakuna makazi so kwa usiku emergency ikitokea like gari imepata breakdown humo it's you on your own hakuna msaada mtapata labda itokee kuna gari nyingine ipite iwape msaada ila there is no way mtafanya mawasiliano hasa ya simu so possibly wanazuia kwa sababu hio maana pia kuna wanyama pori humo.
Miaka 60 baada ya uhuru bado tunayaogopa mapori yetu wenyewe kweli? Kwa nini kusiwe na network hicho kipande wakati hiyo ni highway? Sina lengo la kukushambulia wewe personally but nataka hoja zangu ziwafikie wahusika kwa sababu hatuwezi kupiga maendeleo kwa staili hii.
 
Back
Top Bottom