Kwa madaktari wote

Kwa madaktari wote

Ooh nimeona tu baadhi ya madaktari wa hospital Fulani wanavyohudumia watu wao vizuri .wanavyojali muda wao na kusamini muda wa wagonjwa wao hata chai anakunywa kwa muda mfupi akijua kuna watu wanahitaji huduma yake..apo ndo nilipotokea kuipenda na kusamini hii kada ndo ivo tu

kumbe ww kigezo chako cha mume bora ni daktari eee? lkn huo utafiti wako ni wa hospitali ngapi c moja tu???
 
CC: Super doctor measkron thanks to you and your fellow doctors for your extraordinary care above and beyond your daily duties as doctors.
 
Last edited by a moderator:
CC: Super doctor measkron thanks to you and your fellow doctors for your extraordinary care above and beyond your daily duties as doctors.

Kumbe ka measkron ni ka dokta? Ngoja nikaPM kawe ka daktari ka familia yangu hakyamama.
 
Last edited by a moderator:
mimikapeople

Tunashukuru sana,tunahitaji watu kama wewe ili kuongeza ufanisi.ukipata wasaa ni PM kwa ujumbe wa hamasa ili nizidi kuchapa kazi.
 
Last edited by a moderator:
nashukuru kuthaminiwa. angalau wapo wachache wanaothamini mchango wetu
 
kwa mara ya kwanza na sie wa kijijini tumekumbukwa.....
 
mimikapeople

Tafadhali, ingekaa vyema kama ingesomeka baadhi ya madaktari na si kujumuisha wote. Naandika hivi kwasababu kuna baadhi yao ni wazembe wamegeuza ofisi kuwa sehemu ya kupigia soga na watu wanaowajua.

Wengine wamegeuza ofisi zao kama vyumba vya kufanyia mapenzi hasahasa na wanawake (rejea kesi ya daktari wa Korogwe), kwa hali hiyo nakuunga mkono kwa upande mmoja na upande mwingine nakusihi uboreshe dhana yako kwa madaktari.
 
magavya
Upo sahihi kabisa ndo maana kwenye maelezo nimesema wanaotimiza wajibu wao, ambao wenyewe wana wito wa kutoa huduma na ambao hawatimizi Mungu awape utashi wa kujua majukumu yao na kujua kwanini wapo hapo walipo...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom