Kwa madaktari wote

Kwa madaktari wote

Sijakuelewa una maanisha madokta wa aina gani???! manake wapo wa aina nyingi mpaka Manyaunyau.
 
nachukiaga watu wanaoacha kuchangia mada iliyopo mezani wanaanza kupigizana stori na wenzao, mimi nikikuona naweza kukutia hata makofi kudadadensa
Wewe ni he au she? Napenda sana kucharazwa makofi na jinsia pendwa....
 
Madakitari wengine bana unaingia unaumwa yeye anakulaza anajifanya anakupima kumbe anafanya yake.Hivi inakuwaje kumtamani mgonjwa.
 
Dada nameless apo key point ni madokta nimetokea kusamini sana kazi yao kwa wachache niliyowaona kiukwel wanajituma na kuipenda kazi yao ambayo ni ngumu na ina challenge nyingi na bado wanaifanya vizuri

Kazi zote ni ngumu na zina changamoto kutegemeana na malengo!
 
Wewe hujielewi halafu hujielewi kama huelewi...
Mkuu wahi matibabu kabla hujapata psychosocial stressor ika trigger your to be diagnosis.... if you know what I mean.... tehe😛

Pole, umejaribu lakn
 
Back
Top Bottom