Kazi kwel kwel nan asingependa mmewe awe dr ili awe anamtibu akiwa no one? Hata mm napenda ila yataka moyo labda kama huna element ya wivu maana vyumba vyao vya kuongea na wagonjwa ni zaidi ya hotel/ gest
Hahahahaaaa.....wamekusikia. Ila ni wajibu wao kutoa huduma kwa sababu wewe unalipia lkn pia wanapokea mshahara kwa kazi hiyo.
Mi nitumie nafasi hii labda kuwatia moyo na kuwapongeza waalimu wote (isipokuwa wa vyuo) popote walio
mind za aina hii ndio zinawafanya watu wasifanye kazi.
ukiwa na mawazo kama haya hata shukrani ya mdomo tu baada ya kuhudumiwa hutoi.
unajua kwamba watumishi wa afya wanafanya kazi kupita muda wao wa kazi na wengi hawajalipwa stahiki zao?
unadhani wangekuwa wana mawazo ya kufanya kazi kama wajibu kulingana na malipo mngehudumiwa?
Where is origin and insertion ov GASTRICNEMIUS muscle if your real medical personel