Kwa madaktari wote

Kwa madaktari wote

mimikapeople

Member
Joined
Apr 28, 2015
Posts
27
Reaction score
34
Nawapongeza sana madaktari wote mnaopenda kazi yenu na kuhudumia watu kwa moyo mmoja mungu awabariki sana na azidi kubariki kazi zenu kwani huo ni wito.

Nawapenda sana madaktari hata nikisema niolewe Mungu anipe doctor ili niwe namtia moyo kwenye kazi yake aweze kuifanya vizuri.

Mungu wabariki madaktari wote wanaotimiza wajibu wao.

Ameen
 
mimikapeople

Amina dada,na Mungu amesikia maombi yako.Pia usisahau kuitunza vema afya yako ili kupunguza wimbi la wagonjwa wenye magonjwa yazuilikayo
 
Last edited by a moderator:
asante dada tumeziskia sala zako, ila ungeanzia juu kidogo tujue kulikoni

Ooh nimeona tu baadhi ya madaktari wa hospital Fulani wanavyohudumia watu wao vizuri .wanavyojali muda wao na kusamini muda wa wagonjwa wao hata chai anakunywa kwa muda mfupi akijua kuna watu wanahitaji huduma yake..apo ndo nilipotokea kuipenda na kusamini hii kada ndo ivo tu
 
Mi daktari nmechoka sana na kazi za leo ningependa nikuone mtoa mada
 
Back
Top Bottom