Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
- Thread starter
- #61
apewe kwa utendaji wake wa kazi
Utendaji kaz upi? Fafanua
apewe kwa utendaji wake wa kazi
Utendaji kaz upi? Fafanua
Pigeni kelele weweeee ila lowasa anafaa kuisimamia nchi vema.uwazir mkuu tu alipga kaz nzuri sana. Hayo ya richmond aliingia tu kama kafara. Vote for lowasa
una macho lakini hauoni una maskio lakini hauambiliki
Lowassa ni jembeeeeeeeeeeeeee
kumbuka kuona na kutazama ni tofauti,pia kusikia na kusikiliza ni vitu 2 tofauti. Kwa kauli yako hiyo ni kweli sioni na sisikii,ila ungesema kusikiliza na kutazama ningekubaliana na hoja yako. Ndio maana hata mwalimu darasani husema sikiliza na sio sikia,tazama na sio ona pia kauli hizo huambatana na vitendo anavyofanya mwalimu. Ingekuwa ni kuona na/au kusikia,basi mwl angekuwa anaingia darasani na kuondoka
Ngoja aje aitishe harambee humu jf
jiandae kisaikolojia
Kivp,nchi haiwezi kuongozwa na top 5 ya mafisadi,mmegeuza ikulu kama kijiwe kukutania
Kivp,nchi haiwezi kuongozwa na top 5 ya mafisadi,mmegeuza ikulu kama kijiwe kukutania
wewe unataka nani awe raisi wako
kwani nikikutajia itakusaidia nini? Rais wangu yupo,hajatangaza nia bado
ungependa awe nani
siwezi kutaja jina la mtu bali nataja sifa za mtu anayefaa kuwa rais wa nchi hii.
1. Awe mwadilifu na mzalendo
2. Awe na uwezo wa kutatua matatizo ya kiuchumi,kisiasa na kiutamaduni
3. Awe ni mtu anayejali watu wake hususani wanyonge
4. Awe ni mtu anayeweza kulinda rasimali zetu kama madini,wanyama nk
4. Awe na uwezo wa kushughulikia wahujumu uchumi
siwezi kutaja jina la mtu bali nataja sifa za mtu anayefaa kuwa rais wa nchi hii.
1. Awe mwadilifu na mzalendo
2. Awe na uwezo wa kutatua matatizo ya kiuchumi,kisiasa na kiutamaduni
3. Awe ni mtu anayejali watu wake hususani wanyonge
4. Awe ni mtu anayeweza kulinda rasimali zetu kama madini,wanyama nk
4. Awe na uwezo wa kushughulikia wahujumu uchumi
hebu nitajie huyo mwenye sifa hizi tumjue.
Porojo kibaaao ! Topic umeielewa lakini unaleta longolongo , team lowasa mmebaki na promo za kisanii tu , mtu aliyeshindwa U-PM tena kwa mwaka unusu tu ataweza nini ? Unaulizwa kwa lipi hasa ? Tuwekee jibu .tumechoka sifa tunazijua huhitaju kunikumbusha..wew unamkataa raisi wangu mtarajiwa kwa hoja ulizozitoa then....sema wa kwako ambae utakuwa tayar kumpa kura yako kwa moyp radhi...mwenye sifa Ulizodai...na uniambie umefahamuje na je unafahamu side B yake....usiumeume maneno nitajie
Anzisha uzi mpya upewe majibu murua , huu unamhusu lowasa .---- sema nani awe raisi wako achana na lowassa kwanza
Anzisha uzi mpya upewe majibu murua , huu unamhusu lowasa .